Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 468
Unajua ushamba tunazidiana, lakin mimi ni zaidi yako, eti toka nizaliwe sijawahi kuona wamasai wamebeba jeneza ya mwenzao wakiwa wanaenda kuzika, vipi ww mwenzangu unayejiita mtoto wa mjini ushawahi kuona hiyo???