Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,742
- 18,477
Unamkuta kijana kila Mara tukikutana maskani anajisifia eti oohh! Mimi nimeo na nina watoto kadhaa huku akiponda wale ambao hawajaoa.
Kituko ni kwamba mtu huyo huyo ukimwangalia mke wake na watoto wake utawaonea huruma bora watoto lakini mke kachakaa mwili mavazi hanunuliwi yaani kiufupi jamaa hatoi matunzo kwa familia yake.
Imefika wakati mpaka mke wakati mwingine anatuomba sisi msaada wa fedha ya kutumia ndani kwake mpaka namuonea huruma binti wa watu.Sasa najiuliza kijana kama huyu alikimbilia nini kuoa wakati anatesa viumbe wa watu.
Ushauri; Vijana msimbilie ndoa kama hamjajipanga, ndoa ni sanaa na sayansi pana sana wengi wenu mnafikiri kwamba ndoa ni kujigi jigi tu.Badilikeni bwana la sivyo mtajikuta mna share mke na wenzako.
Kituko ni kwamba mtu huyo huyo ukimwangalia mke wake na watoto wake utawaonea huruma bora watoto lakini mke kachakaa mwili mavazi hanunuliwi yaani kiufupi jamaa hatoi matunzo kwa familia yake.
Imefika wakati mpaka mke wakati mwingine anatuomba sisi msaada wa fedha ya kutumia ndani kwake mpaka namuonea huruma binti wa watu.Sasa najiuliza kijana kama huyu alikimbilia nini kuoa wakati anatesa viumbe wa watu.
Ushauri; Vijana msimbilie ndoa kama hamjajipanga, ndoa ni sanaa na sayansi pana sana wengi wenu mnafikiri kwamba ndoa ni kujigi jigi tu.Badilikeni bwana la sivyo mtajikuta mna share mke na wenzako.