Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,548
- 88,539
Mwe hivi kumbe nyama ya 'mbusi' nayo inaleta kitambi ??Serengeti lite na nyama ya mbuzi isiyoiva
Mwe hivi kumbe nyama ya 'mbusi' nayo inaleta kitambi ??Serengeti lite na nyama ya mbuzi isiyoiva
Natania tu....nyama ni nyamaMwe hivi kumbe nyama ya 'mbusi' nayo inaleta kitambi ??
Haka kawimbo n katam kiaina[emoji3][emoji3][emoji3]Kankonko nikikupea utawezana? Na hicho kitambi utawezana? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lastly: Mtoa mada una kitambi cha hela au utapiamlo!!
Dettol ilikusaidiajedada mmoja pale ilula alinidharau kisa nina kitambi nikampa hela ya kutosha mbona usiku alinirushia na kukimbia huku chupi kashika mkononi na nguo zote kwa pamoja dettol ilinisaidia msitudharau wenye vitambi
Manz yangu alishaniambia nikiwa na kitambi mm na yeye Basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi ladies mnatuchukulia poa sana sisi wenye vitambi eeh?
Ngoja niwaambie kitu, kwa bed we work twice as hard to prove you wrong. Yaani ikiwezekana "from XXL to Jahazi" ili tuweke heshima, sio kila mtu ana kipaji cha Kwenda kushinda Gym.
Ila sitasahau siku nilipokutana na fundi wa kitanga akanitegua kiuno, Asha popote ulipo salute kwako.
Shule ilikuwa ndefu na long distance ndio vilifanya tukaachana, bado nipo kwa benchi lako, ukipewa talaka nitafute. [emoji17][emoji20][emoji21][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Okonkwoo umeanzaa kunichochaa...Hivi ladies mnatuchukulia poa sana sisi wenye vitambi eeh?
Ngoja niwaambie kitu, kwa bed we work twice as hard to prove you wrong. Yaani ikiwezekana "from XXL to Jahazi" ili tuweke heshima, sio kila mtu ana kipaji cha Kwenda kushinda Gym.
Ila sitasahau siku nilipokutana na fundi wa kitanga akanitegua kiuno, Asha popote ulipo salute kwako.
Shule ilikuwa ndefu na long distance ndio vilifanya tukaachana, bado nipo kwa benchi lako, ukipewa talaka nitafute. [emoji17][emoji20][emoji21][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂bora hata nyonyoo lina matumizi kando ya kufutia simuUkiacha kutumika kufutia kioo cha simu, kitambi hakina kazi nyingine. Kitoe mkuu.
😀 😀 😀 😀kitambi ni mpaka uwe na hela kama huna hilo ni tumbo kama matumbo mengine
😀 😀 😀 😀😂😂bora hata nyonyoo lina matumizi kando ya kufutia simu