Eti "uko na kitambi nikikupea utawezana", seriously?

Eti "uko na kitambi nikikupea utawezana", seriously?

Mwana marathon kitambi anatoa wapi[emoji1745]
Basi kuna uwezekano anatoa dozi kwa viwango vinavyotakiwa. Kitambi, kiwe kidogo au kikubwa ni kitu kibaya sana kwa afya ya mwanaume rijali.
 
Kankonko nikikupea utawezana? Na hicho kitambi utawezana? 😂😂😂😂😂
Eti nasikia nyie mko na vitambi mnakuwaga na dhakari nene fupi?

Lastly: Mtoa mada una kitambi cha hela au utapiamlo!!
Duh dada umetisha "cha utapiamlo" tena
 
Si wanasema ze biga ze kitambi ze mjamaa izi kunywea and pua gemu.
Si ndio maana nikasema tunajituma zaidi ya mara 2 kufidia hiko kiba100 😂, kupiga guitar kama ukiweza unapiga miluzi kabisa
 
Basi kuna uwezekano anatoa dozi kwa viwango vinavyotakiwa. Kitambi, kiwe kidogo au kikubwa ni kitu kibaya sana kwa afya ya mwanaume rijali.
Mkiwa navyo halafu mkawa na pesa hamna shida tutatafuta tu namna.[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Mkiwa navyo halafu mkawa na pesa hamna shida tutatafuta tu namna.[emoji85][emoji85][emoji85]
Wenye vitambi tunajua kupenda na tunajali, na ukiwa na hela huyo binti ni yeye tu aseme anataka nini, ila madada wengi wa Bongo hawalioni hilo wapo radhi wakateseke kwa wapiga chuma wanaoshinda gym, utafikiri wanakula hizo six packs.
Wenye vitambi ndio waoaji, washinda gym ni chapa hapa chapa pale Kisha chapa lapa.
Acha wacheze Kwaito kwa harusi za mashosti zao hadi watokee vigimbi [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye vitambi tunajua kupenda na tunajali, na ukiwa na hela huyo binti ni yeye tu aseme anataka nini, ila madada wengi wa Bongo hawalioni hilo wapo radhi wakateseke kwa wapiga chuma wanaoshinda gym, utafikiri wanakula hizo six packs.
Wenye vitambi ndio waoaji, washinda gym ni chapa hapa chapa pale Kisha chapa lapa.
Acha wacheze Kwaito kwa harusi za mashosti zao hadi watokee vigimbi [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na mna wivu hatari.
 
K
Hivi ladies mnatuchukulia poa sana sisi wenye vitambi eeh!
Ngoja niwaambie kitu, kwa bed we work twice as hard to prove you wrong. Yaani ikiwezekana "from XXL to Jahazi" ili tuweke heshima, sio kila mtu ana kipaji cha Kwenda kushinda Gym.
Ila sitasahau siku nilipokutana na fundi wa kitanga akanitegua kiuno, Asha popote ulipo salute kwako.
Shule ilikuwa ndefu na long distance ndio vilifanya tukaachana, bado nipo kwa benchi lako, ukipewa talaka nitafute. [emoji17][emoji20][emoji21][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan hili bandiko ni kuhusu kitambi au Asha .
 
Back
Top Bottom