Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,096
nimependa tu kuuliza..nikikupea utawezana😀?
nimependa tu kuuliza..nikikupea utawezana😀?
Ndio kakonkoMimi sina
Nikikupea utawezana ?
Utawezana ???
come n get itNdio kakonko
🤣🤣🤣ukiwa mfupi alafu unakitambi unakua kama.......Hivi ladies mnatuchukulia poa sana sisi wenye vitambi eeh!
Ngoja niwaambie kitu, kwa bed we work twice as hard to prove you wrong. Yaani ikiwezekana "from XXL to Jahazi" ili tuweke heshima, sio kila mtu ana kipaji cha Kwenda kushinda Gym.
Ila sitasahau siku nilipokutana na fundi wa kitanga akanitegua kiuno, Asha popote ulipo salute kwako.
Shule ilikuwa ndefu na long distance ndio vilifanya tukaachana, bado nipo kwa benchi lako, ukipewa talaka nitafute. [emoji17][emoji20][emoji21][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja Mago......
Pimbi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukiwa mfupi alafu unakitambi unakua kama.......
[emoji1787][emoji1787] au cha biaKankonko nikikupea utawezana? Na hicho kitambi utawezana? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lastly: Mtoa mada una kitambi cha hela au utapiamlo!!
😆😆😆Huna hata cha kufutia simu?
hv kwanini wenye majina ya ASHA,MWAJUMA,MWANAISHA,SIKUJUA,HALIMA,TABU na STELLA huwa ni shiidaaahh yaani wanakatikiamo bila hurumaHivi ladies mnatuchukulia poa sana sisi wenye vitambi eeh!
Ngoja niwaambie kitu, kwa bed we work twice as hard to prove you wrong. Yaani ikiwezekana "from XXL to Jahazi" ili tuweke heshima, sio kila mtu ana kipaji cha Kwenda kushinda Gym.
Ila sitasahau siku nilipokutana na fundi wa kitanga akanitegua kiuno, Asha popote ulipo salute kwako.
Shule ilikuwa ndefu na long distance ndio vilifanya tukaachana, bado nipo kwa benchi lako, ukipewa talaka nitafute. [emoji17][emoji20][emoji21][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bottom line; kitambi kinashusha performance levels vibaya mno. In fact, overweight tu sio nzuri, unahema ovyo kama mbwa anayetoka mawindoni.
Bottom line; kitambi kinashusha performance levels vibaya mno. In fact, overweight tu sio nzuri, unahema ovyo kama mbwa anayetoka mawindoni.
Wenye vitambi tunajua kupenda na tunajali, na ukiwa na hela huyo binti ni yeye tu aseme anataka nini, ila madada wengi wa Bongo hawalioni hilo wapo radhi wakateseke kwa wapiga chuma wanaoshinda gym, utafikiri wanakula hizo six packs.
Wenye vitambi ndio waoaji, washinda gym ni chapa hapa chapa pale Kisha chapa lapa.
Acha wacheze Kwaito kwa harusi za mashosti zao hadi watokee vigimbi [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Serengeti lite na nyama ya mbuzi isiyoiva[emoji1787][emoji1787] au cha bia