XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,293
- 6,957
Habari wakuu
Kuna mtoto wa kaka yangu kwenye matokeo ya form 6 amepata principal passes 2 lakini General studies amepata 7, nilikuwa nauliza je kuna uwezekano wa kuchaguliwa chuo kikuu ikiwa amepata principal passes mbili lakini amefeli General studies..
Kuna mtoto wa kaka yangu kwenye matokeo ya form 6 amepata principal passes 2 lakini General studies amepata 7, nilikuwa nauliza je kuna uwezekano wa kuchaguliwa chuo kikuu ikiwa amepata principal passes mbili lakini amefeli General studies..