Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,988
- 142,388
Polisi wanasema uvunjifu wa amani. Mimi mwenyewe najiuliza sipati majawabu.
Wewe chama gani?Nani kavunja amani?
Wavunjifu wa amani ndo hao hao polisi na CCM yao.
dah kweli Mungu atakuwa amekosa machaguo!Hahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
Wewe chama gani?
Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.
Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?
Kumpindua Magufuli?
Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.
Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.
Hovyo kabisa!
Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Mkyeku...[emoji6] [emoji4]Kama wewe ulivyoandika hapo ni uchochezi😛
Chaguo la Mzee MwanakijijiHahahaa kuna watu waliwahi kusema huyu ni 'chaguo la Mungu'
mimi niliposikia tu kwao hakuwa First born nilijiuliza sana
Kawaida first born wanakuwaga natural leaders