Khaa kumbe wewe nae ulilisoma hili gazeti?
Aisee 'those were the golden days'
Hahah nililisoma aisee
Yaani kila toleo never miss....
ewe sikununu usiye na akili, ni nani aliye kurogaaaaaa!!??Sijui umekula maharage ya wapiiii, nilikuwa nakuheshimu mimiii, sasa sikuheshimu tenaa,....nenda zako mzeeee,ishia zako mzeeee....
Unajua Sukununu hizi hadithi zako zina mafundisho lakini kuna sehemu Exaggeration inazidiUnamaana gani ndugu...Shigongo si ndio yule mfanyabiashara ayeitwa shigongo
Juzi nilileta taarifa ya mke wangu kutojua usafi na kupika dagaa kila siku nilipanga kumfungisha virago but kutokana na huruma ya wanajukwaa nimemuweka chini nmempa tuition na tume draft ratiba ya chakula kwa wiki nzima nikamsamee.
Sasa kama wiki ya pili kuna suala ambalo tunalishughulikia kwa pamoja na nimemshirikisha wife kwa 100% ingawa mie ndio ninayeangaika nalo.
Mke wangu aliponiudhi ni pale alipo mwambia baba yake yaani baba mkwe wangu,
Back in the days tunasoma gazeti la Sani'
Sikununu alikuwa mtangazaji wa mpira wa mechi za 'Born Town FC na Bush Stars'
i miss those days
Niliachana nae kwa kashfa tena matusi juu maana alinisaliti baada ya kutembea na muhasibu wa shirika moja akawa ananipiga vijembe ooh mie sasa hivi nipo na mtunza fedha wewe huna shughuli.
Nikaamua kumpotezea ingawa iliniuma sana maana mie maisha yangu yalikuwa ni kuchezea vibuti tu kila siku kipindi icho.
Maisha yameendelea akaanza kutuma sms za mitego mara oohh mwenzio nakukumbuka sana.
Nikawa namchunia ila baadaye nikaanza kuchat nae.Tumeendelea kuchat ananirazimisha tukatiane mie namkatalia coz siwezi kula matapishi yangu ila amekuwa akinihadithia mambo yake mengi na anaombaga nimsaidie.
Mara nyingi ananiomba hela mwezi wa pili nilimtumia laki 1, mwezi wa tatu nikamtumia laki 2 katika vipindi viwili mwezi wa tano huu ameniomba laki 2 tena. Sasa je mimi ni mtu wa aina gani?
Ni mdhaifu au ninampenda huyu mwanamke maana siku hizi akinipigia simu tunaongea masaa mengi tunakumbusha tukicheka na kufurahi i dont know myself na sitaki turudiane kimapenzi.
Niliachana nae kwa kashfa tena matusi juu maana alinisaliti baada ya kutembea na muhasibu wa shirika moja akawa ananipiga vijembe ooh mie sasa hivi nipo na mtunza fedha wewe huna shughuli.
Nikaamua kumpotezea ingawa iliniuma sana maana mie maisha yangu yalikuwa ni kuchezea vibuti tu kila siku kipindi icho.
Maisha yameendelea akaanza kutuma sms za mitego mara oohh mwenzio nakukumbuka sana.
Nikawa namchunia ila baadaye nikaanza kuchat nae.Tumeendelea kuchat ananirazimisha tukatiane mie namkatalia coz siwezi kula matapishi yangu ila amekuwa akinihadithia mambo yake mengi na anaombaga nimsaidie.
Mara nyingi ananiomba hela mwezi wa pili nilimtumia laki 1, mwezi wa tatu nikamtumia laki 2 katika vipindi viwili mwezi wa tano huu ameniomba laki 2 tena. Sasa je mimi ni mtu wa aina gani?
Ni mdhaifu au ninampenda huyu mwanamke maana siku hizi akinipigia simu tunaongea masaa mengi tunakumbusha tukicheka na kufurahi i dont know myself na sitaki turudiane kimapenzi.
NGOJA NIKUSHAURI KWA KIFILIPINO.....ikaw ay tanga at hindi lamang na iyong pagkalalaki ay isang kahihiyan hindi magiging katulad ng isang ina tanga
Hapo tu ndipo nilipoelewa, kwote giza