Eti siku hizi ananikumbuka

Eti siku hizi ananikumbuka

Kama hutaki mrudiane mawasiliano yanini tena,kaa mbali na hayo matapishi
 
acaha uzoba sasa unampa hela za nni???
ujue bado unampenda hadi kuja kujaza server humu JF???
Nadhani ungekuwa mwanaume kamili ungempotezea na wala usingeleta huu ----- wako hapa

Punguza hasira mjomba

Nampa hela sababu ananiomba
Sijajaza server bure si nmenunua bando ya mb8
Nielekeze chuo wanachotoa kozi ya kuwa mwanaume kamili
 
Duuuhh tumeubwa wengi. Yote kwa yote unampenda ndio maana moyo wako una amani kumpa pesa.
 
Bila kusahau akina kipepe zena betina na mzee wa madongo lodilofa....

Lakini sani lilinoga zaidi kwa hadithi za akina mzee ole obi na linda


Back in the days tunasoma gazeti la Sani'
Sikununu alikuwa mtangazaji wa mpira wa mechi za 'Born Town FC na Bush Stars'
i miss those days
 
Mleta mada wewe bado kuchinjwa tu.... maana kama bandani ushaingia mwenyewe
 
kweli huyu jamaa inabidi aajiriwe Global Publisher ya Shigongo
Hii ni media...and it is not illegal to share experience....
Technology inakuja na vitu vingi na historia inaonyesha binadamu anapenda kushirikisha watu katika vitu anavopitia ili either wengine wajue au kujifunza kupitia hayo as long as my name is not #sikununu and no one will never know me in real life here in jf....i guess it is safe for my marriage.
Vijiwe vimebadilika siku izi mambo yote ni kielectronic...we are doing story in jf while I'm here with my beloved wife watching series #breaking_bad
 
Wewe ni zo.ba mtu wa akiba, unageuzwageuzwa tu, wanakujua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom