MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Mbu nafikiri kila kitu kinawezekana ili mradi tu kuwe na makubaliano! Mf kaka wewe unahitaji mtoto mwingine zaidi wakati mwenzako anahisi ameshafika kikomo si kuna kukubaliana na kumake some sacrifices?
Kuhusu kuwa na cheti cha ndoa kusema ukweli nadhani inategemea na tamaduni ya mnakoishi! Hebu nambie pale ambapo tunakubaliana kuishi 'hewani' mpaka uzeeni! Hebu nambie na hizi extended zetu kuna kutambulika pande zote haya bila 'kuhalalisha' mnakuwaje?!
Mwe mie nadhani bado ni wa zama za mawe za kati. Nisaidieni tafadhali
Kuhusu kuwa na cheti cha ndoa kusema ukweli nadhani inategemea na tamaduni ya mnakoishi! Hebu nambie pale ambapo tunakubaliana kuishi 'hewani' mpaka uzeeni! Hebu nambie na hizi extended zetu kuna kutambulika pande zote haya bila 'kuhalalisha' mnakuwaje?!
Mwe mie nadhani bado ni wa zama za mawe za kati. Nisaidieni tafadhali