Eti ndoa zimepitwa na wakati…………!

Mbu nafikiri kila kitu kinawezekana ili mradi tu kuwe na makubaliano! Mf kaka wewe unahitaji mtoto mwingine zaidi wakati mwenzako anahisi ameshafika kikomo si kuna kukubaliana na kumake some sacrifices?

Kuhusu kuwa na cheti cha ndoa kusema ukweli nadhani inategemea na tamaduni ya mnakoishi! Hebu nambie pale ambapo tunakubaliana kuishi 'hewani' mpaka uzeeni! Hebu nambie na hizi extended zetu kuna kutambulika pande zote haya bila 'kuhalalisha' mnakuwaje?!

Mwe mie nadhani bado ni wa zama za mawe za kati. Nisaidieni tafadhali
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Chauro cjui kwa nini naamini kuwa huku bado hatujafikia huko kwenye maisha ya hivyo?! But nadhani pia sheria inasema mkikaa under one roof kwa muda flan basi mshakuwa mke na mume kisheria sasa sijui hii ya bila commitment ni kama ya shost wangu? Kuwa tu wapenz but kila mtu na nyumba yake , tunakutana pale tu tunapotaka kustarehe!
 
Mbu nafikiri kila kitu kinawezekana ili mradi tu kuwe na makubaliano! Mf kaka wewe unahitaji mtoto mwingine zaidi wakati mwenzako anahisi ameshafika kikomo si kuna kukubaliana na kumake some sacrifices?

Kuhusu kuwa na cheti cha ndoa kusema ukweli nadhani inategemea na tamaduni ya mnakoishi! Hebu nambie pale ambapo tunakubaliana kuishi 'hewani' mpaka uzeeni! Hebu nambie na hizi extended zetu kuna kutambulika pande zote haya bila 'kuhalalisha' mnakuwaje?!

Mwe mie nadhani bado ni wa zama za mawe za kati. Nisaidieni tafadhali

...nikikuoa urafiki wetu utaendelea?
 

...nikikuoa urafiki wetu utaendelea?

Nimejikuta nacheka kwa nguvu !! Swali gani hili we Mbu! Akhaa!

Labda mie sijakuelewa ni urafiki gani huo unaouongelea? Unamaanisha waliooana wote wamepoteza urafiki wao walokuwa nao kabla hawajaoana?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nimejikuta nacheka kwa nguvu !! Swali gani hili we Mbu! Akhaa!

Labda mie sijakuelewa ni urafiki gani huo unaouongelea? Unamaanisha waliooana wote wamepoteza urafiki wao walokuwa nao kabla hawajaoana?

lol...sasa wacheka nini ewe mwj1?
jibu la ndio au hapana lakushinda ewe mwl wa primary?
urafiki huu huu ninaouzungumzia...

...au tuanzie kujiuliza URAFIKI NI NINI?
 
Hapa naona naishiwa hoja sijui kwa kuwa umenichekesha?!

Seriously, mimi nafikiri mkiweza kuziidentify zile factors zinazowafanya muwe marafiki na kuzimaintain..... Kuhalalisha umoja wenu kihalali hakutobadilisha kitu.

Kuhalalisha pia kunakufanya mtiu uwe more committed (hata kama utaruka na kuchakura jalalani) unakuwa makini na hakika kuwa unapo pa kueleweka kukilaza kichwa chako! - stable relation.

Lakini pia inakusaidia kuweka limitation eh! Ingawa wanasema kuoa au kuolewa si mwisho wa kupenda lakini inakuwa kama kamba flani ya kukushtua unapotaka kupotoka!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Duh aksante kiraka so hapa nahisi hatojali kama ni mume wa mtu au lah!! mwe!!
Yaani hiyo sio issue kabisa, kuna dada ni mke wa mtu, ila yuko tayari kuzaa na jamaa mmoja kwa kuona kuwa jamaa anaweza mzalisha mtoto mzuri.
Kwa hali hiyo yaani kwa huyu ambaye hana mume kuzaa na mume wa mtu ambaye yeye anamuona ni mbegu nzuri mbona sio issue kabisa, kwani hujajua kuwa kuna watu wanataka kuzaa half caste kwa namna yoyote ile!
 
Hapa naona naishiwa hoja sijui kwa kuwa umenichekesha?!

Seriously, mimi nafikiri mkiweza kuziidentify zile factors zinazowafanya muwe marafiki na kuzimaintain..... Kuhalalisha umoja wenu kihalali hakutobadilisha kitu.

Kuhalalisha pia kunakufanya mtiu uwe more committed (hata kama utaruka na kuchakura jalalani) unakuwa makini na hakika kuwa unapo pa kueleweka kukilaza kichwa chako! - stable relation.

Lakini pia inakusaidia kuweka limitation eh! Ingawa wanasema kuoa au kuolewa si mwisho wa kupenda lakini inakuwa kama kamba flani ya kukushtua unapotaka kupotoka!

...mwj1,....kwa muono wako...kwanini ndoa nyingi hazidumu miaka hii kama zamani?
swali la ziada,....kwanini wanandoa wengi baada ya kuvuka salama kipindi cha urafiki, na uchumba
kwenye ndoa ile furaha waliyokuwa nayo awali inafifia na kutoweka?...

correct me if am wrong bana, mwenzio nimepitia bad breakups baada ya ndoa niliyodhani tutazikana!
---hapa natafuta mbinu za kufukia mashimo yote kwa ndoa niitarajiayo, nisijetambulikana kama
"mbu yule wa kuoa na kuachwa!"--
 

...mwj1,....kwa muono wako...kwanini ndoa nyingi hazidumu miaka hii kama zamani?
swali la ziada,....kwanini wanandoa wengi baada ya kuvuka salama kipindi cha urafiki, na uchumba
kwenye ndoa ile furaha waliyokuwa nayo awali inafifia na kutoweka?...

correct me if am wrong bana, mwenzio nimepitia bad breakups baada ya ndoa niliyodhani tutazikana!
---hapa natafuta mbinu za kufukia mashimo yote kwa ndoa niitarajiayo, nisijetambulikana kama
"mbu yule wa kuoa na kuachwa!"--
Hahahahahaaaaaaa Mbu bwana wee!

Mie sina ninalowezasema juu ya ndoa za siku hizi kusema ukweli but nadhani wengi wetu wa siku hizi tunaingia kwenye ndoa kwa malengo tofauti. Kila mtu anaingia kwenye ndoa akiwa na ndoto zake za alinacha, kuwa anatama mwenz wake awe malaika wakati si rahisi. So kwa wengi hatutake time kufahamiana vizuri, kujifahamu, kumfahamu mwenzi na kujifahamu kama wawili wa pamoja.

Hahaha eti Mbu wa kuoa na kuachwa.............sio unaacha?!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahahahahaaaaaaa Mbu bwana wee!

Mie sina ninalowezasema juu ya ndoa za siku hizi kusema ukweli but nadhani wengi wetu wa siku hizi tunaingia kwenye ndoa kwa malengo tofauti. Kila mtu anaingia kwenye ndoa akiwa na ndoto zake za alinacha, kuwa anatama mwenz wake awe malaika wakati si rahisi. So kwa wengi hatutake time kufahamiana vizuri, kujifahamu, kumfahamu mwenzi na kujifahamu kama wawili wa pamoja.

Hahaha eti Mbu wa kuoa na kuachwa.............sio unaacha?!

...mnh,....haya bana. :A S embarassed:
 
Kwa mtazamo wangu, naona suala la kuingia kwenye ndoa si kupitwa na wakati, bali ni jambo muhimu sana tena linakubalika kijamii na hata kidini pia. Kuchakachuliwa kwa ndoa kumeingia hivi karibuni tu baada ya sisi watanzania tulio wengi kuanza kudanganyika na Western culture na mikanda ya tamthilia tunazoangalia mara kwa mara. Kuna mambo mule ambayo ni just work of fiction kwa lengo la kufanya story iuzike na kukubali, Walio wengi wetu wanaiga tu bila kutafakari...
Cha msingi nawashauri watu wote walio ndani ya ndoa na wanaotaka kuwa ndani ya ndoa, kufanya maamuzi sahihi na makusudi kabisa wakitambua kuwa ndoa ni taasisi nyeti ambayo inahitaji heshima, staha na kuridhika. Bila kuridhika, ndoa zitaendelea kuwa ngumu zaidi maana kila siku wazuri wanazaliwa!!!
 
Back
Top Bottom