1.Naskia una sura mbaya mpaka
ukijiangalia kwenye kioo kinaandika
''please wait''
2.Dada zako ni wabaya hadi
mmeweka
tangazo getinieti oa mmoja upate
wa pili
bure
3.Wewe ni mweusi hadi ukibeba
mtoto
anasinzia akidhani giza limeingia
4.kwenu mko wengi hadi mtoto wa
mwisho anaitwa etc....
5.Damu yako tamu mpaka mbu
huja na
vitafunwa
6.kwenu mko wengi mpaka baba
yako
akiingia anasema ''hamjambo
wananchi''
7.kwenu kuchafu mpaka inzi na
mende
huvaa viatu
Ee endelea bac tuone kaa
umeamka..
ukijiangalia kwenye kioo kinaandika
''please wait''
2.Dada zako ni wabaya hadi
mmeweka
tangazo getinieti oa mmoja upate
wa pili
bure
3.Wewe ni mweusi hadi ukibeba
mtoto
anasinzia akidhani giza limeingia
4.kwenu mko wengi hadi mtoto wa
mwisho anaitwa etc....
5.Damu yako tamu mpaka mbu
huja na
vitafunwa
6.kwenu mko wengi mpaka baba
yako
akiingia anasema ''hamjambo
wananchi''
7.kwenu kuchafu mpaka inzi na
mende
huvaa viatu
Ee endelea bac tuone kaa
umeamka..