heavyload
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 900
- 497
Hakika nimekuwa shabiki wa hili kundi la muziki wanajiita WEUSI ila hapo kwenye huu wimbo wenu mpya nimegundua mna safari ndefu kuwafikia wanamuziki wenye majina duniani kwakuwa sio wabunifu nyie na nyimbo zenu nyingi ni za kimatukio.....mara "madaraka ya kulevya" mara "naliamsha dude"
Hizo nyimbo zilipaswa kuimwa na kina janjaro,young d na sio nyie. My take to you legends you should come with agendas which draw productive concerns to the public
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo nyimbo zilipaswa kuimwa na kina janjaro,young d na sio nyie. My take to you legends you should come with agendas which draw productive concerns to the public
Sent using Jamii Forums mobile app