mwanamke hana shahawa (sperms), ana fluids(kama semens) majimaji yasio kama mkojo au shahawa yanafanana na yale anayotoa mwanaume mwanzo kabla ya sperms, yanayotoka kwenye tezi dume, ila ya mwanamke ni mengi sana na mepesi, yanatoka only ukimstimulate tezi inaitwa skenes gland. Anaweza mwaga hata zaidi ya nusu lita per session. Sio wote wanaweza ila anaweza kujifunza na kumwaga...though inaaminika raha aipatayo akimwaga sio the same kama anapofika kileleni. anaweza afike kileleni bila kumwaga au vyote vitokeee, ila kileleni ni super zaidi. Kumfikisha kileleni mwanamke ni kazi sana yahitaji uvumilivu, stamina na ufundi. Na bado wanadai ujira aisee. Kama hatumiki sana like kwa mwezi mara mbili it is easy. Na pia nae ashiriki mawasiliano kwamba wapi akunwe na kivipi. Na kumbuka wengi wana fake, ukiona ke kama anakata roho macho yana geukia juu anafinya, au kuvuta shuka au kukukamata kwa nguvu na anatetemeka kifua mwili...hicho ndio kilele....wengi wakifika kileleni hawataki kuendelea na sex, ila akimwaga mnaweza kukesha nae anamwaga tu.