Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,971
- 13,605
Kuna jamaa yangu kapeleka watoto wake wawili mapacha kuwatahiri kwa hawa mangariba! Nimeshangaa sana.
Zama hizi za utandawazi ukamtahiri mtoto maporini? Kweli jamani? Haspitali zipo kibao, kwa nini umsababishie mtoto maumivu makali wakati angeenda hospitali angetumia gazi?
Hizi tabia za wazazi kupeleka watoto kwa mangaribu ni sehemu ya ukatili kwa watoto. Unaenda kumsababishia mtoto maumivu na uvujaji wa damu mwingi kwa hawa makatili wanaojiita mangaribaa.
Nimeshangaa sana.
Zama hizi za utandawazi ukamtahiri mtoto maporini? Kweli jamani? Haspitali zipo kibao, kwa nini umsababishie mtoto maumivu makali wakati angeenda hospitali angetumia gazi?
Hizi tabia za wazazi kupeleka watoto kwa mangaribu ni sehemu ya ukatili kwa watoto. Unaenda kumsababishia mtoto maumivu na uvujaji wa damu mwingi kwa hawa makatili wanaojiita mangaribaa.
Nimeshangaa sana.