idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Kwa vigezo vipi ulivyoviona?
sawa mkuu, nashukuru kwa kunitukana..Liverpool itaadhibiwa vibaya na club cha flamingo ya Brazil
Kloop hajui kucheza na timu zinazocheza samba Klop huwezi kuchukua hili kombe Gengenpress yake hufanya kazi kwa timu zinazocheza soka za kujilinda Flamingo itamtafuna jogoo wa uingereza kwa goli tatu katika mchezo wa club bingwa wa dunia Kuweka kumbukuku sawa Liverpool hajawahi kuchukua hili...www.jamiiforums.com
Mwenzio huyo, chizi kama wewe
Mzee hata ubongo wako ungekuwa na afya usingeandika huo utumbo, Kwahiyo kabla hujatoa kibanzi kwenye jicho langu toa kwako kwanzasawa mkuu, nashukuru kwa kunitukana..
mimi ni chizi,.. ila siku nyingine boresha afya ya ubongo wako ndio uandike huo utumbo wako. hivi bila matusi huwa hamjisikii raha eti..
halafu kibaya zaidi ni maoni yangu hayo, kama unaona ni ya hovyo si utoe yako..
sawa mkuu, nashukuru kwa kunitukana..
mimi ni chizi,.. ila siku nyingine boresha afya ya ubongo wako ndio uandike huo utumbo wako. hivi bila matusi huwa hamjisikii raha eti..
halafu kibaya zaidi ni maoni yangu hayo, kama unaona ni ya hovyo si utoe yako..