STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,568
Dear Irene mm nakupenda ww
Isije kuwa ndio wewe
Isije kuwa ndio wewe
Xaxa dada co vxr hvyo!Ndoa ni zaidi ya mwandiko lakini mtu anayeandika hivyo hata urafiki nae sitaki
Xaxa dada co vxr hvyo!
Kwanza kabisa nitoe pongezi za dhati kwa mheshimiwa rais kwa kutuletea mtandao huu wa Jamiiforum hakika JPM ni jembe chumaa, jiwe, mwambaa (samahani nimeangalia taarifa ya habari ya ITV leo kuna daraja sijui Tanga kwa Godwin Gondwe sijui sasa kila mtu anasema pengezi ziende kwa rais nikasema sasa imekuwa too much hata kama ni sifa imeanza kuboa aiseee!
Wacha niende kwenye mada, kuna mkaka anataka kuoa mdogo wa rafiki yangu, bado haja jitambulisha lakini ila tatizo rafiki yangu anadai hamuelewi elewi huyo shemeji yake mtarajiwa (ila hajawahi kumuona)
Kinieleza vitu vingi ila hiki imebidi nikishee kwenu
Kiufupi mwandiko wake haueleweki aisee nimesoma text za chats zake nikachoka mno zipo kama hivi
"uxiconde xhem 2po pa1" hii ni moja ya text yake huyu kweli anajielewa jamani anafaa kuoa mdogo wetu huyu?
Ha ha ha! Duh!Kuna siku nimekutana na mtoto mkali, nikasema hem nione kama shetani atapita na mimi, text ya kwanza nasoma, "xo uxhafka om, unafnya nn nw", nikajisemea ni heri nibaki nilivyo
Wee ukimuona mdogo wako anapotea unamuacha tu kweli mkuu?kuolewa aolewe mwingine..kuumia waumie wengine!acha roho ya kichawi Irene.
Hata mimi nakupenda weweDear Irene mm nakupenda ww
Labda mke wa tano..! Na hapo ukute ulipo ata wakuzugia huna..!Mhhh! Am sorry shemeji, usije kuwa ni wewe ndo unataka kuoa mdogo wetu
Yaani unamaanisha kuna mwanamke hana mtu au?, kwa taarifa yako wanaume wasio na wapenzi ni wengi sana ndio maana mwehu wa kike anazaa ila mwehu wa kiume labda iwe ni kishirikinaLabda mke wa tano..! Na hapo ukute ulipo ata wakuzugia huna..!
Hata mimi nakupenda wewe
Mbona povu utakuwa ni wewe
Bila kuolewa maisha hayaendi labda kama haujui maana ya maisha kwenda, hii ni sawa na maskini na tajiri,maskin akamwambia tajiri hata nisipotajirika maisha yanaenda kama wewe.Kiukweli mimi sijaolewa na sijutii kwa nini sijaolewa maana maisha yanaenda japo nina mchumba lakini
Kwanza nianze na pongezi kwa daraja kutengewa fungu. Dogo aoe muongeze tegemezi hapo kwenye familia. Kuna jamaa alikuja kuoa kwetu design hiyo full Marioo daily yupo ukweniMwisho wa siku ni mdogo wenu ndio mwenye maamuzi ya mwisho binafs labda niulize wana umri gani?
@KhantweNdoa ni zaidi ya mwandiko lakini mtu anayeandika hivyo hata urafiki nae sitaki