Miss_Irene
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 320
- 455
- Thread starter
- #21
Ha ha ha ha! We hujui mara moja moja bata hujichanganya na kundi la kuku!Tuonyeshe na mwandiko wa mdogo wenu. Ndege wanaofanana....
Ha ha ha ha! We hujui mara moja moja bata hujichanganya na kundi la kuku!Tuonyeshe na mwandiko wa mdogo wenu. Ndege wanaofanana....
Zimebadilikaje labda mpenzi!
Hata kama kilaza kweli?Ndoa ni ya wawili wewe unasema hafai lakini yeye kaona anafaa na si ajabu hata miandiko inafanana.
Kwanza kabisa nitoe pongezi za dhati kwa mheshimiwa rais kwa kutuletea mtandao huu wa Jamiiforum hakika JPM ni jembe chumaa, jiwe, mwambaa (samahani nimeangalia taarifa ya habari ya ITV leo kuna daraja sijui Tanga kwa Godwin Gondwe sijui sasa kila mtu anasema pengezi ziende kwa rais nikasema sasa imekuwa too much hata kama ni sifa imeanza kuboa aiseee!
Wacha niende kwenye mada, kuna mkaka anataka kuoa mdogo wa rafiki yangu, bado haja jitambulisha lakini ila tatizo rafiki yangu anadai hamuelewi elewi huyo shemeji yake mtarajiwa (ila hajawahi kumuona)
Kinieleza vitu vingi ila hiki imebidi nikishee kwenu
Kiufupi mwandiko wake haueleweki aisee nimesoma text za chats zake nikachoka mno zipo kama hivi
"uxiconde xhem 2po pa1" hii ni moja ya text yake huyu kweli anajielewa jamani anafaa kuoa mdogo wetu huyu?
Mhhh! Am sorry shemeji, usije kuwa ni wewe ndo unataka kuoa mdogo wetuTafuta wako acha umbea, upuuzi kuingilia mahusiano ya wako.
Mhhh! Am sorry shemeji, usije kuwa ni wewe ndo unataka kuoa mdogo wetu
Ww wasema. Kwenye mapenzi chongo unaweza kuona kengeza.Hata kama kilaza kweli?
Ahaa basi hongera wee mwache akahangaike na lake huko wee angalia lako maana kila mtu na mlango wake kwenye maishaKiukweli mimi sijaolewa na sijutii kwa nini sijaolewa maana maisha yanaenda japo nina mchumba lakini
Upo kama mimi shost, kiukweli nilipouona mwandiko wake nilipaniki mnoNdoa ni zaidi ya mwandiko lakini mtu anayeandika hivyo hata urafiki nae sitaki
Asante sana na kwa mujibu wa awamu ya tano ya Magufuli basi hata sijasoma ulichoandika ila naamini huyo kijana ni CHAGUO LA MUNGU na anafaa awe shemeji yenu kwa miaka 100...achana na kelele za mabeberuKwanza kabisa nitoe pongezi za dhati kwa mheshimiwa rais kwa kutuletea mtandao huu wa Jamiiforum hakika JPM ni jembe chumaa, jiwe, mwambaa (samahani nimeangalia taarifa ya habari ya ITV leo kuna daraja sijui Tanga kwa Godwin Gondwe sijui sasa kila mtu anasema pengezi ziende kwa rais nikasema sasa imekuwa too much hata kama ni sifa imeanza kuboa aiseee!
Wacha niende kwenye mada, kuna mkaka anataka kuoa mdogo wa rafiki yangu, bado haja jitambulisha lakini ila tatizo rafiki yangu anadai hamuelewi elewi huyo shemeji yake mtarajiwa (ila hajawahi kumuona)
Kinieleza vitu vingi ila hiki imebidi nikishee kwenu
Kiufupi mwandiko wake haueleweki aisee nimesoma text za chats zake nikachoka mno zipo kama hivi
"uxiconde xhem 2po pa1" hii ni moja ya text yake huyu kweli anajielewa jamani anafaa kuoa mdogo wetu huyu?
Ha ha ha ha! Mkuu umekuja kukoleza, nilikuwa naangalia ziara ya JPM akiwa Katavi, Songwe na Rukwa mpaka kero aiseee sio mawaziri sio watu wa dini, Wakuu wa mikoa nk wote sifa ziende kwa JPM na hata hiyo ziara nilikuwa naangalia kwa kuwa ofisini king'amuzi kilikata kifurushi na ofisi haikuwa na bajeti ya kifurushi so TBC ilitawala ofisini kwetu kipindi hichoo!Asante sana na kwa kuwa kwa mujibu wa awamu ya tano ya Magufuli basi hata sijasoma ulichoandika ila naamini huyo kijana ni CHAGUO LA MUNGU na anafaa awe shemeji yenu kwa miaka 100...achana na kelele za mabeberu
Mkuu, Mimi ningezima socket breaker kabisa...aiseeHa ha ha ha! Mkuu umekuja kukoleza, nilikuwa naangalia ziara ya JPM akiwa Katavi, Songwe na Rukwa mpaka kero aiseee sio mawaziri sio watu wa dini, Wakuu wa mikoa nk wote sifa ziende kwa JPM na hata hiyo ziara nilikuwa naangalia kwa kuwa ofisini king'amuzi kilikata kifurushi na ofisi haikuwa na bajeti ya kifurushi so TBC ilitawala ofisini kwetu kipindi hichoo!
Sikuwa na ujanja huo, mbaya zaidi kila mkutano hotuba ni ile ileMkuu, Mimi ningezima socket breaker kabisa...aisee
Wanaboa sana kiukweliMume wa Sister ana muandiko kama huo jana nimempa za uso.
Isije kuwa ndio weweMwandiko nao andika Jf ni tofauti na niandikao kwenye mambo mengine.
Sasa kama na wewe huna akili unaamini nyuzi za Jf za kuandika x instead ya s ukaona si mume pole.
Nampa pole tena maana inaonekana unasikiliza maneno ya nje bila kuchanganya na yako.
Kila la kheri kwenu.
Maybe!Isije kuwa ndio wewe
Kwani wee ukiona mwanao au ndugu yako anapotea labda kwa mfano unamuacha tu eti yeye ndo ana maamzi? Mdogo wetu ana 21 huyo muoaji sijajua kiukweli maana hata sijamuona
Mbona povu utakuwa ni weweWe mwenyewe hujui unachokiandika. Maamzi ndio kitu gani?