Eti kweli huyu anafaa?

Tafuta wako acha umbea, upuuzi kuingilia mahusiano ya wako.
Kwanza kabisa nitoe pongezi za dhati kwa mheshimiwa rais kwa kutuletea mtandao huu wa Jamiiforum hakika JPM ni jembe chumaa, jiwe, mwambaa (samahani nimeangalia taarifa ya habari ya ITV leo kuna daraja sijui Tanga kwa Godwin Gondwe sijui sasa kila mtu anasema pengezi ziende kwa rais nikasema sasa imekuwa too much hata kama ni sifa imeanza kuboa aiseee!

Wacha niende kwenye mada, kuna mkaka anataka kuoa mdogo wa rafiki yangu, bado haja jitambulisha lakini ila tatizo rafiki yangu anadai hamuelewi elewi huyo shemeji yake mtarajiwa (ila hajawahi kumuona)

Kinieleza vitu vingi ila hiki imebidi nikishee kwenu

Kiufupi mwandiko wake haueleweki aisee nimesoma text za chats zake nikachoka mno zipo kama hivi
"uxiconde xhem 2po pa1" hii ni moja ya text yake huyu kweli anajielewa jamani anafaa kuoa mdogo wetu huyu?
 
Kiukweli mimi sijaolewa na sijutii kwa nini sijaolewa maana maisha yanaenda japo nina mchumba lakini
Ahaa basi hongera wee mwache akahangaike na lake huko wee angalia lako maana kila mtu na mlango wake kwenye maisha
 
Ndoa ni zaidi ya mwandiko lakini mtu anayeandika hivyo hata urafiki nae sitaki
Upo kama mimi shost, kiukweli nilipouona mwandiko wake nilipaniki mno

Nikajisemea huyu kilaza anataka kutuharibia mdogo wetu aiseee

Mungu anisamehe kiukweli maana sio kwa ushauri ule niloutoa kwa shost yangu!
 
Kwanza kabisa nitoe pongezi za dhati kwa mheshimiwa rais kwa kutuletea mtandao huu wa Jamiiforum hakika JPM ni jembe chumaa, jiwe, mwambaa (samahani nimeangalia taarifa ya habari ya ITV leo kuna daraja sijui Tanga kwa Godwin Gondwe sijui sasa kila mtu anasema pengezi ziende kwa rais nikasema sasa imekuwa too much hata kama ni sifa imeanza kuboa aiseee!

Wacha niende kwenye mada, kuna mkaka anataka kuoa mdogo wa rafiki yangu, bado haja jitambulisha lakini ila tatizo rafiki yangu anadai hamuelewi elewi huyo shemeji yake mtarajiwa (ila hajawahi kumuona)

Kinieleza vitu vingi ila hiki imebidi nikishee kwenu

Kiufupi mwandiko wake haueleweki aisee nimesoma text za chats zake nikachoka mno zipo kama hivi
"uxiconde xhem 2po pa1" hii ni moja ya text yake huyu kweli anajielewa jamani anafaa kuoa mdogo wetu huyu?
Asante sana na kwa mujibu wa awamu ya tano ya Magufuli basi hata sijasoma ulichoandika ila naamini huyo kijana ni CHAGUO LA MUNGU na anafaa awe shemeji yenu kwa miaka 100...achana na kelele za mabeberu
 
Asante sana na kwa kuwa kwa mujibu wa awamu ya tano ya Magufuli basi hata sijasoma ulichoandika ila naamini huyo kijana ni CHAGUO LA MUNGU na anafaa awe shemeji yenu kwa miaka 100...achana na kelele za mabeberu
Ha ha ha ha! Mkuu umekuja kukoleza, nilikuwa naangalia ziara ya JPM akiwa Katavi, Songwe na Rukwa mpaka kero aiseee sio mawaziri sio watu wa dini, Wakuu wa mikoa nk wote sifa ziende kwa JPM na hata hiyo ziara nilikuwa naangalia kwa kuwa ofisini king'amuzi kilikata kifurushi na ofisi haikuwa na bajeti ya kifurushi so TBC ilitawala ofisini kwetu kipindi hichoo!
 
Ha ha ha ha! Mkuu umekuja kukoleza, nilikuwa naangalia ziara ya JPM akiwa Katavi, Songwe na Rukwa mpaka kero aiseee sio mawaziri sio watu wa dini, Wakuu wa mikoa nk wote sifa ziende kwa JPM na hata hiyo ziara nilikuwa naangalia kwa kuwa ofisini king'amuzi kilikata kifurushi na ofisi haikuwa na bajeti ya kifurushi so TBC ilitawala ofisini kwetu kipindi hichoo!
Mkuu, Mimi ningezima socket breaker kabisa...aisee
 
Mwandiko nao andika Jf ni tofauti na niandikao kwenye mambo mengine.

Sasa kama na wewe huna akili unaamini nyuzi za Jf za kuandika x instead ya s ukaona si mume pole.


Nampa pole tena maana inaonekana unasikiliza maneno ya nje bila kuchanganya na yako.


Kila la kheri kwenu.
 
Mwandiko nao andika Jf ni tofauti na niandikao kwenye mambo mengine.

Sasa kama na wewe huna akili unaamini nyuzi za Jf za kuandika x instead ya s ukaona si mume pole.


Nampa pole tena maana inaonekana unasikiliza maneno ya nje bila kuchanganya na yako.


Kila la kheri kwenu.
Isije kuwa ndio wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom