POLITE MAN
Member
- Oct 14, 2011
- 41
- 7
Habari zenu wana jamii,
naomba kupata info kwa mwenye uelewa juu ya hili; nimesikia rumansi eti bandari kunanafasi ziko wazi isipokuwa vigogo wanasubili watoto na ndugu zao wamalize masomo ndio watangaze izo nafai kwani inasemekana wengi richa ya nafasi kuwa wazi lakini wengi wanaofanyakazi ni wazee wanaoelekea kustafuu lakini nafasi bado awataki kuzitangaza, tujuzeni wanaolijua hili
naomba kupata info kwa mwenye uelewa juu ya hili; nimesikia rumansi eti bandari kunanafasi ziko wazi isipokuwa vigogo wanasubili watoto na ndugu zao wamalize masomo ndio watangaze izo nafai kwani inasemekana wengi richa ya nafasi kuwa wazi lakini wengi wanaofanyakazi ni wazee wanaoelekea kustafuu lakini nafasi bado awataki kuzitangaza, tujuzeni wanaolijua hili