Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
Khaaa, nikajua utafurahia nikichakachua coz ww ndio bingwa wetu tunafuata nyao babu!Oyaaaaaaaaa hapa tunadiskasheni mate na mkojo!
Hahahaha.........kinyume chake kwenye huu myuziful sredi sijagongewa ka-Like hata kamoja........khaaa!
Kwakweli leo like utazimic sana hasa za wajukuu kwa huu uzi lol!
Babu Mie niko radhi kukugongea like km utakubali nawe huwa unatema mate kila unapokojoa!