AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
- Thread starter
- #61
Huo ujumbe hawauoni...wanaona lugha tu...wanazuga eeh..."kumbe wewe ndo huonekani kama mke"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ujumbe hawauoni...wanaona lugha tu...wanazuga eeh..."kumbe wewe ndo huonekani kama mke"
Wewe sema hujaolewa na wala hakuna mwenye mpango wa kukuoa...coz u r not a wife material
Mtoa uzi. Na wewe sekta ya kutoa povu haijakuacha salama. HahhahhhahaahahhHii ni forum ya mapenzi uhusiano sijui na mavitu gani mengine...hayo mkadiscuss education forum...msijikute wajuvi kwenye post nyingine mnaleta mambo yenu...mada imewagonga inawauma...
Hahaa raw model wangu ni wewe kwenye suala zima la kutembelea nyuzi
Asante sana mkuuHahaa raw model wangu ni wewe kwenye suala zima la kutembelea nyuzi
HahahahahahHahaa raw model wangu ni wewe kwenye suala zima la kutembelea nyuzi
nilitaka niseme hivi hivi
mkuu nahisi id imekuponza itakuwa huwa unakero sana kwake mwenzako ni don siunajua neno don linasadifu niniUnampomtag huyo me unanisahau unamaanisha nini. Au namba yangu bd haijafikia...
Kama ulivyogusa wewe! Tumia kiswahili utaeleweka tu. Ila najaribu kupata picha nipo na mtu anajifanya mjuaji halafu anaongea hii maneno maana kama kuandika shida sipati picha kuongea. Nyie ndio mnafanya watu wasiolewe🤣Ujumbe umekugusaaa...
Na hapo itakua amepigwa kibuti maana kwa huu uandishi sijui. Hata mimi ningempa blockHahaa mwandiko mwenyewe ndo huo. We unahisi kuna kingine kichwani mwake zaidi ya ukungwi.
Angeandika uzi wote kwa kingereza basi.Ungemsahihisha labda anapenda kuandika lugha hiyo
Madanga yanajuana...Na hapo itakua amepigwa kibuti maana kwa huu uandishi sijui. Hata mimi ningempa block