Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,975
Hawajui sio ushambaYou are na your zinawachanganya wengi sijui ni ushamba au ujinga wa lugha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajui sio ushambaYou are na your zinawachanganya wengi sijui ni ushamba au ujinga wa lugha
Hivi matumizi yake sahihi Ni yapi!??Yule akipigwa msasa na ras ananyoosha lugha manake tatizo lake kubwa ni your na you are
Ila huyu sijui itakuwaje
Tunasubiri afanye editing kwa kweliKwa hiyo walengwa waendelee kutoa mapovu au wasubiri hadi jamaa afanye editing ya uzi wake ?
You are na your zinawachanganya wengi sijui ni ushamba au ujinga wa lugha
Huwa nashangaa ,mtu unayedhani ni mfano wa kumuiga anaandika your badala ya you areHawajui sio ushamba
Huwa nashangaa ,mtu unayedhani ni mfano wa kumuiga anaandika your badala ya you are
Hivi matumizi yake sahihi Ni yapi!??
Maana siku hizi watu wanatumia Sana your hata sehemu ya you're
What do you understand...Nimekuelewa mkuu
Raw model ukiwa unamanisha nini?
Walengwa waeendelee kutoa mapovu...Kwa hiyo walengwa waendelee kutoa mapovu au wasubiri hadi jamaa afanye editing ya uzi wake ?
Cha ajabu anayeandika hivyo ni mtu ambaye yupo kwenye spotlightNafikiri ni kushindwa kujua utofauti wa matumizi yake
Au kolomije 😂😂😂😂Thubutuuuuu kingereza cha chato hiko labda
Hahahah ila ujumbe si umeuelewa...Thubutuuuuu kingereza cha chato hiko labda
Wewe si ndio kiazi mbatata kabisa...Ni role model sio raw model, wewe kiazi
Ujumbe umefika...Tunasubiri afanye editing kwa kweli
OK okHahahah ila ujumbe si umeuelewa...
Hii ni forum ya mapenzi uhusiano sijui na mavitu gani mengine...hayo mkadiscuss education forum...msijikute wajuvi kwenye post nyingine mnaleta mambo yenu...mada imewagonga inawauma...Huwa nashangaa ,mtu unayedhani ni mfano wa kumuiga anaandika your badala ya you are
Kumbe,
Wewe sema hujaolewa na wala hakuna mwenye mpango wa kukuoa...coz u r not a wife materialAu kolomije