KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
mzee mtangazaji muhusima alipo mbali na kituo cha utangazaji huwapelekea tbc makao makuu habari hiyo kwa njia hiyo net
Mi huwa nakereka sana na TBC mnaposema "........Kama alivyotutumia habari hii kwa njia ya internet/mtandao/satelite".
Nia yenu hasa ni nini? tuogope?? au tujue mmeendelea sana ki-technologia? au picha hazitakua na quality? au mbembwe tu.
Mnawapumbazaga na kuwaokota wa huko vijijini tu, ambao satelite au sijui internet kwao wanaona kama vile mwandishi alienda space kutuma.
Mbona hakuna tv station yeyote duniani wanaotamka ivyo??? au wao hawatumii na wanajua technolojia iyo ishapitwa na wakati na nyie ndo mmevumbua sasa?
Yaani hata citizentv ya watani zetu inawashinda?
Badilikeni jamani, internet sasa ivi haitustui watanzania.
kiuandishi au kiupashanaji habari hicho kitu ni muhimu sana, kwa sababu kwanza quality ya picha na sound lazima itakuwa ni tofauti, vile vile wavelegth zinazotumika huwa sio sawa, kwa hiyo kiuandishi ni lazima uambiwe hiyo picha unayoiona ni aina fulani, anyway kama ulivyosema wewe unakereka ni wewe lakini kwa mimi naona ni sawa na nina haki ya kujua ni aina gani ya picha ninayoonyeshwa
kiuandishi au kiupashanaji habari hicho kitu ni muhimu sana, kwa sababu kwanza quality ya picha na sound lazima itakuwa ni tofauti, vile vile wavelegth zinazotumika huwa sio sawa, kwa hiyo kiuandishi ni lazima uambiwe hiyo picha unayoiona ni aina fulani, anyway kama ulivyosema wewe unakereka ni wewe lakini kwa mimi naona ni sawa na nina haki ya kujua ni aina gani ya picha ninayoonyeshwa
ulishawai kuona nchi yeyote ile duniani watangazaji wake wanaongea hivyo, si bongo tbc one tu ndo wanafanya hivyo, kwani itv na wengine huwa hawana habari kwa njia ya internet?, tatizo internet tz imeanza kutumiwa juzi tu hapa, ndo watu wanafunguka majicho, hamna cha uandishi wala nini, ni limbukeni tu hiyo, wanakere banaa aaaaa
yaani hiyo issue imenikera hadi nimechoka, HUO NI USHAMBA WA HALI YA JUU, watangazaji hao huwa wanaboa sana, ni kama kujionyesha kuwa internet ni kitu cha ajabu sana, kitu cha hali ya juuuuuuu, ni maendeleo yao ya technologia ya juuuuu, hasa hao kina muhando wadada hao...wanakera sana kuwasikiliza. kwani internet ni kitu cha ajabu sana kwa hawa watangazaji, halafu hata kabla haujaweka hii thread, nilishataka kuja kutoa dukuduku langu hili muda mrefu tu, asante kwa kuiweka leo, nafikiri watasoma hapa na wataacha kutangaza kama wametoka kijijini leo kwasababu hiyo tbc 1 inaangaliwa na watu hata nje ya nchi,inatuwakilisha hivyo waacha kutuaibisha,...alaa
kiuandishi au kiupashanaji habari hicho kitu ni muhimu sana, kwa sababu kwanza quality ya picha na sound lazima itakuwa ni tofauti, vile vile wavelegth zinazotumika huwa sio sawa, kwa hiyo kiuandishi ni lazima uambiwe hiyo picha unayoiona ni aina fulani, anyway kama ulivyosema wewe unakereka ni wewe lakini kwa mimi naona ni sawa na nina haki ya kujua ni aina gani ya picha ninayoonyeshwa
hiki ni kitu kinachokera sana kusikiliza....hivi wameanza kutumia internet lini? huwa sipendi kusikia, ndo maana watu wanatuita watz washamba ivoivo....