VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Hatuwezi ,,Hatuwezi ,, Hatuwezi kuwa sawa na wanaume ..Leo mwanamke unamkuta kaajiriwa mwanaume anapambana anavojua yeye Lkn bado ile pesa ya mwanaume unaikodolea macho ...Kuna Wanawake tunawarudisha nyuma wanaume leo umeajiriwa pesa yako ni yako tu na ya mume ni yetu .. .. Wanawake haturidhiki hatutosheki milele kila kitu tutapewa Lkn bado tutataka tu ...Wanawake hatuna shukran jua ipo siku atakuacha vibaya kwa kujisahau kwako kisa Utelezi.