charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,369
Kuna suala lilizua mjadala mahali kwamba,woaji sikuhizi hawapatikani wengine wakasema no!waoaji wapo ila waolewaji wamekua na vigezo vingi mno kumchambua huyo muoaji ndio maana suala la relationship na relationship zinazoishia kwenye ndoa linaonekana kama gumu siku hizi au hata hizo ndoa hazidumu sijui mnaonaje hili??