TimeBomb
Member
- Feb 1, 2013
- 89
- 39
Enzi za 90's ilikuwa ukiharibu utasikia mshua anang'aka nenda kalete fimbooo hapa na kweli unaenda unaisaka huku chozi linakutoka na kujitilisha huruma unaipeleka na unatandikwa balaa..ila Kizazi hiki cha leo ukitoa hiyo amri utaenda kutangaza upotevu wa mtoto kwenye JIJI LETU saa 12...Kizazi Cha Nyoka!