functional
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 732
- 774
Eti kama kifungo cha suti
Kweli Kaka. Anajibana kiasi hicho kisa nini hasaa wakati ndio ameshafutuka.
Assume ndo mumeo sasaMiili mingine bana.Bora hicho kifungo akiachage wazi tu.
Cha kwanza kila leo ningemsisitiza avae / kushona nguo kulingana na mwili wake na sio ilimradi tu eti na yeye aambiwe wamo wakati mwili hauruhusu.Assume ndo mumeo sasa
Ujue umefanya nirudi kukiangalia ni wapi kimekaa hicho kifungo. Kweli kinahitaji uvumilivu.Kamaanisha 'uvumilivu' maana kiukhalisia hicho kifungo kinavumilia mno kuwa hapo kilipo.!
Haha, sure uvumilivu wa kiwango cha khali ya juu kabisa.!Ujue umefanya nirudi kukiangalia ni wapi kimekaa hicho kifungo. Kweli kinahitaji uvumilivu.![]()
Suti Ya KuazimaEti kama kifungo cha sutiView attachment 1252238
Kweli Kaka. Anajibana kiasi hicho kisa nini hasaa wakati ndio ameshafutuka.![]()