Eti kadata na sauti yangu tu

kuhusu swala la picha,tumeishatumiana na yeye,kikwel ni mdada mzuri tu kama walvo wadada wengne hasa hawa wa mjini.
Then you are sorted....huna cha kuhofia! Hawezi 'kukubaka' mkuu.....make sure you are in control.
 
Then you are sorted....huna cha kuhofia! Hawezi 'kukubaka' mkuu.....make sure you are in control.

kinachonifanya niwe wa wasiwasi,anasisitza sana bout sex,yani anasema lazima tufanye!!
 
kinachonifanya niwe wa wasiwasi,anasisitza sana bout sex,yani anasema lazima tufanye!!

Govanor bana!! Unaogopa binti! Wewe kuwa mwanaume kuwa in control. Kama hutaki kusexnaye weka wazi! Pengine naye anakutega au anahic ni wale wanaume wanaohusudu sex au yeye ni wale wanaochukulia sex kama ishara ya kupenda. Yaani amekupenda na anahisi akikupa utaamini anakupenda.
 
Habari za wakati huu wakuu!!kuna msichana mmoja nimekuwa nikichat nae facebook kwa muda mrefu sasa,imetokea hvi karibuni tumepeana namba za simu,katika kuongea kwenye simu,binti anadai amevutiwa sana na saut yangu na anahitaji tuwe wapenzi.sasa wakubwa,kweli mtu anaweza tu kudata na saut na akafall in love deeply like this au ananitega tu huyu binti?

...dahhhh, you missed the truth and nothing but the whole truth hapa kaka.,..
umesema mmekuwa mna chat ;

1. muda mrefu (hapa na assume una maana siku nyingi)
2. kwenye facebook (ina maana mnajuana hata kwa picha zenu)

...iweje leo hii umshutumu ati yeye amekupendea sauti tu, zile picha na mazungumzo yenu ya muda mrefu?
acha hizo bana...sauti ni 'bonus' tu....!
 

...dahhhh, you missed the truth and nothing but the whole truth hapa kaka.,..
umesema mmekuwa mna chat ;

1. muda mrefu (hapa na assume una maana siku nyingi)
2. kwenye facebook (ina maana mnajuana hata kwa picha zenu)

...iweje leo hii umshutumu ati yeye amekupendea sauti tu, zile picha na mazungumzo yenu ya muda mrefu?
acha hizo bana...sauti ni 'bonus' tu....!

nimejikoroga tu,but ni kwamba baada ya kuckia saut yangu ndo ameshawishka zaidi kunihitaji.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
nimejikoroga tu,but ni kwamba baada ya kuckia saut yangu ndo ameshawishka zaidi kunihitaji.

...lol,...usijali.

sasa nawe unatumia jitihada gani kumuonyesha humuhitaji maishani mwako?
 
Tupe namba yake kama unamuogopa wengine sie ni madaktari tutakupimia kama ni mgonjwa au lah uoga ukuishe
 
Tatizo lenu Vijana wa Siku hizi mkiongea na Mabinti mnabadilisha sauti (Kisharobaro), wenyewe mnaongea kama Wamarekani weusi (Slang), halafu mnaweka, ''you know'' nyiiiingi, mara, ooooh baby missed u, Mara, baby jana sijalala nimekuota wewe, .....sasa bila kulala Utaotaje?
 
Back
Top Bottom