Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,697
- 1,962
Mi napenda sauti za wadada wanaoongea sauti ya pili.
Then you are sorted....huna cha kuhofia! Hawezi 'kukubaka' mkuu.....make sure you are in control.kuhusu swala la picha,tumeishatumiana na yeye,kikwel ni mdada mzuri tu kama walvo wadada wengne hasa hawa wa mjini.
kinachonifanya niwe wa wasiwasi,anasisitza sana bout sex,yani anasema lazima tufanye!!
sijakuelewa mkuu,swaga za kijanja kivip?
mkuu,me sirembi,ila ndo sauti yangu ilivo tu yani.
ka vp tubadilishane basi.
Habari za wakati huu wakuu!!kuna msichana mmoja nimekuwa nikichat nae facebook kwa muda mrefu sasa,imetokea hvi karibuni tumepeana namba za simu,katika kuongea kwenye simu,binti anadai amevutiwa sana na saut yangu na anahitaji tuwe wapenzi.sasa wakubwa,kweli mtu anaweza tu kudata na saut na akafall in love deeply like this au ananitega tu huyu binti?
...dahhhh, you missed the truth and nothing but the whole truth hapa kaka.,..
umesema mmekuwa mna chat ;
1. muda mrefu (hapa na assume una maana siku nyingi)
2. kwenye facebook (ina maana mnajuana hata kwa picha zenu)
...iweje leo hii umshutumu ati yeye amekupendea sauti tu, zile picha na mazungumzo yenu ya muda mrefu?
acha hizo bana...sauti ni 'bonus' tu....!
nimejikoroga tu,but ni kwamba baada ya kuckia saut yangu ndo ameshawishka zaidi kunihitaji.
Upo 'available'? Maana kama tayari upo commited kwa mtu mwingine huu uhusiano mpya unaweza kukuletea songombingo ukaishia kuwakosa wote wawili.dah!!me niko kimya 2.
unaogopa au unamuogopa?kuhusu swala la picha,tumeishatumiana na yeye,kikwel ni mdada mzuri tu kama walvo wadada wengne hasa hawa wa mjini.
@Red, na wewe msimamo wako ni upi kama Mwanamume?kinachonifanya niwe wa wasiwasi,anasisitza sana bout sex,yani anasema lazima tufanye!!