Kabla ya kudinyana nae ulikuja kutaka ushauri wetu?
Kila mmoja atabeba msalaba wake.
kuna binadamu mnapenda matatizo eeeh? Huyo sio mwanamke wa kuoa
kila mtu anafanya kosa katika maisha na kufanya kosa hakuzui kuomba ushauri
Unafanya kosa halafu tukupe ushauri wa kosa? wewe hujui kutokufanya kosa?
ndo limeshatokea sasa
Mwache aende nae, si mtoto wake kwani atakua anamtorosha mtoto wa mtu. Anawachezea akili hana lolote.
Bw mwache aende unamng'ang'ania wa nini kwanza unadai umechovya mara moja, mara bahati mbaya, mara anadai gari, mara watakugongea siku ukichacha ww umeshaona mvivu tafuta mwingine oa.ndio ni mtoto wake ila unafikiri mtu huyu asiependa kazi na anaependa cheap money anaweza kumraise mtoto in good morals
habari jf!
Kuanzia form 4 nilianza urafiki wa kawaida na binti moja jirani yetu,niliponza f5 urafiki ukageuka kuwa mapenzi ila sikuwahi kufanya nae mapenzi hadi siku moja wote tukiwa f6 ambapo ndo ilikuwa mara yangu ya 1 na yake kufanya tendo hilo ,kosa lililozua kosa jingine ambapo binti alipata mimba ila kwa bahati nzuri aliweza kufanya mitihani yake bila kugundulika,baada ya mitihani mimba ikawa kubwa wazazi wako wakahoji na mimi nikatajwa kama muhusika,baada ya vikao vya pande mbili za wazazi,wazazi wangu walikubali kumtunza binti na mtoto,na wazazi wake wakasema kama faini wazazi wangu watawajibika pia kumsomesha binti,hivyo binti alijifungua mtt wa kike na baada ya matokeo wote tulifaulu mm nikapata scholarship yy akachaguliwa udsm,wazazi wangu walikuwa wanampa hela za matumiz na kumpangia nyumba dar huku wenyewe wakabaki wakitunza mtt,wakati walikizo binti alipewa gari limsaidie kumpeleleka mtt clinic na shughuli nyingine ,cha kushangaza ni kwamba baada ya kumaliza masomo binti alihamia nyumbani akitafutiwa kazi anatoa visingizio anagoma na nyumbani amekaa tu hatki kufanya kazi hata za kumhudumia mwanetu eti anasema anataka alipwe! Na wakati huo huo anasema amilikishwe gari lile,anasema wasipo fanya hivyo ataenda na mtt nchi tusioijua na hatuta muona,
naombeni msaada wenu nifanyeje?
.......tena wa ajabu haswaaa,piga chini tafuta mwingine wa kuoa huyo atawaendesha ww na familia kiujumlaHuyu dada wa ajabu, usomeshwe na kazi utaftiwe bado hutaki kweli kusoma sio kuelimika. Huyu hata badae atakuwa mzigo sana kwako tena kwelikweli kazi unayo.
asante kwa ushauri ndo maana saizi nimeanza kufikiria kuchukua uamuzi mwingine
....tena c o ufikirie uchukue hatua ss...kaniboa sn huyo gal wako
apo muda wakt anasoma na wewe uko majuu hujaeleza nini kilikuwa kinaendelea kati ya wewe na yeye, nahisi una mzungu!