The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,616
This is too much mods ingilieni katiNiliwahi kuona jamaa mmoja anapita nalo Maswa.
Kabisa.This is too much mods ingilieni kati
La kipuuzi kabisa ...bora hata escudo litakuwa na afadhali...Mzuqa,
Yani binadamu hapana.
Porshe Carrera GT bei yake ni dola laki saba za kimarekani baada ya kodi kabla ya kodi 500k$ karibia billion 2 madaf. Na kuna masenge yamenunua haya magari. Unajiuliza why? mbona watu wamekosa utu na hofu ya Mungu kuchezea pesa namna hii.
View attachment 937735
Kwanza gari lenyewe linasura mbaya. Viti ni vya wawili tu. Halafu halina hata buti sijui ukienda shopping utaweka wapi vitu. Wazungu wamekuwa watu wa hovyo sana.
View attachment 937736View attachment 937737
Hata kama ni class na kusifiwa huu ni upuzi. Hata renji na v8 haifikii huko.
Yani kagari kadogo kabaya kanazidi hadi thamani ya nyumba? Eti kwa kuwa kametengenezwa na material za thamani. Fikiria nyumba ya million mia tu ilivyo na thamani msingi nondo na takataka zote.
narumuk
Ila pia ikumbukwe kuna binadamu wengingine wengi zaidi ya asilimia 90 mlo wa uhakika kuupata ngumu. Hawa 1% percent hawajaligi kabisa. Kuna maduka uswis na Paris soksi tu euro 400. Saa ya mkononi euro elfu 30. Na bado masenge yananunukila mtu uwezo wake wa kujikuna unategemea makucha aliyonayo.👀
Viatu vya samaki, habari za Maswa mkuuNiliwahi kuona jamaa mmoja anapita nalo Maswa.
Angalau hata dola elfu 60Mkuu wewe unaona hako kagari kangeuzwa bei gani?
Viatu vya samaki, habari za Maswa mkuu
Hiyo siyo Tecno.Angalau hata dola elfu 60
Haina butiButi iko kwa mbele
Na kutafutiwa kesi ya utakatishaji fedha!Hii ukimiliki hapa bongo jiwe ataumia sana. TRA wataulizwa kwann wamekuruhusu, pia ujiandae kuchunguzwa.
Kwa sababu hakana hata buti million tatu za tz ingependeza!Mkuu wewe unaona hako kagari kangeuzwa bei gani?