mbatia mnzava
Member
- Jul 1, 2011
- 27
- 3
eti wachaga Wamezoea pesa mpaka ukiwauliza saa badala ya kusema kamili wanasema kesh(mfano ukiwauliza ni saa ngapi, kama ni sasaba kamili wanasema sasaba kesh!!
<br />Bangi..
Teh teh teh, ngoja wenyewe wakusikieeti wachaga Wamezoea pesa mpaka ukiwauliza saa badala ya kusema kamili wanasema kesh(mfano ukiwauliza ni saa ngapi, kama ni sasaba kamili wanasema sasaba kesh!!
<br />mzima wewe? Stori za kitoto kaulize rafikizo fesbuk
<br />Umekula au unaumwa njaa?hzo ni storry za vjiweni we unazileta house of great thinkers??lete mambo ya maana bana watu wajadili.
<br />kuna mijitu haijui hata utan wakati wote serious ndo maana ushazeeka ilhali ndo kwanza 32 years @ baba collin
mzima wewe? Stori za kitoto kaulize rafikizo fesbuk
<br />Umekula au unaumwa njaa?hzo ni storry za vjiweni we unazileta house of great thinkers??lete mambo ya maana bana watu wajadili.
<br />Kinachowakasilisha nini? kama utani hamuuwezi nendeni jukwaa la siasa...