Ni kweli kabisa, kuna watu wawili hapa mtaani wameniambia wamekufa baada ya kupokea hiyo namba. USIPOKEE

Haya ndio matunda ya serikali tukufu ya ccm, ndio maana UKAWA wasema Elimu, Elimu, Elimu.Halafu tunajiuliza kwanini Watanzania ni masikini!
Wewe umelala?Haya ndio matunda ya serikali tukufu ya ccm, ndio maana UKAWA wasema Elimu, Elimu, Elimu.
Habari zitaenea tu mkuu wala usiwe na wasiwasi!akifa mrejesho utafikaje?
sasa huoni tutakuwa tumempoteza mwenzetu kwa ushauri wetu? kwa dhambi hii uso tutaweka wapi?Habari zitaenea tu mkuu wala usiwe na wasiwasi!
Kama mtu alikufa kakwambiaje??Ni kweli kabisa, kuna watu wawili hapa mtaani wameniambia wamekufa baada ya kupokea hiyo namba. USIPOKEE
awamu ya tano balaa hadi waliokufa wanaongeaNi kweli kabisa, kuna watu wawili hapa mtaani wameniambia wamekufa baada ya kupokea hiyo namba. USIPOKEE
Haaaaahaaaa duuJaribu kupokea halafu utupe mrejesho.
Hahaha,aisee we Malcolm acha viroba,hahaha,duhhh hiii kaliNi kweli kabisa, kuna watu wawili hapa mtaani wameniambia wamekufa baada ya kupokea hiyo namba. USIPOKEE