Eti hii namba ukipokea unakufa?

Eti hii namba ukipokea unakufa?

Vivax

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
522
Reaction score
186
Eti kuna namba 0228530469 eti akikupigia ukipokea unakufa : ni kweli?
 
Eti kuna namba 0228530469 eti akikupigia ukipokea unakufa : ni kweli?
Mitihani ya form four imeanza hebu kakariri notes kidogo sio utujazie thread za kitoto humu
 
Siku hizi matapeli wengi usikute hata hiyo namba ni feki sasa kujua kama ndo yenyewe ikikupigia pokea af leta mrejesho kama ndo yenyewe au sio
 
Kwahio hio namba ya Ziraili mtoa roho??
Nimemuamini Lowassa aliposema elimu elimu elimu, Kuna watu wana akili za kiabunuwasi.


Ndukiiiii
 
Watumie tafadhali nipigie, ukiona kuchelewa kupigiwa
 
Wamekuammbiaje baada ya kufa?
 
Kwani alikuwa hajui kuwa ndio namba ya huduma kwa wateja ofisi ya IZRAELI....!! Wakipiga means wanataka kukupa huduma....na ukiwabeep, maana yake unahitaji huduma ya haraka...subiri tu kifo kitakufika , maana hakuna wa kukwepa kifo....
 
Nikweli, jamaa aliona missed call akatext sms, hapohapo akazimia alipozindika akapata text, Hongera umechaguliwa kuwa mmoja wa washindi wa safari ya ahera, piga namba 022....ujupatie tiketi yako.
 
Back
Top Bottom