Unapivunja mkatataba lazima ulipe, tena ungedai na mtaji wako kabisa. Si unaona Tanzania tunavyolipa mihela kwa kuvunja mikataba hovyo.Wanawake km hao wase*ng* tu na hvyo ndivyo wanavyosemaga msemo wao huo wa siku Hz pale mwanaume utakapoamua kudai Mali zako ulizompatia before mkiwa kwenye relationship, na wanasemaga hvyo ili tu kukudhohofsha psychologically ili usifanye vile unataka Fanya Ila nakushaur simama imara.
Hvyo mkuu Wala hauna ushamba wwote km anavyokutangazia hpo mtaani, cha kufanya wew Fanya km ulivyoamua chukua kila kitu Chako ulichompatia kwenye business yke hyo kisha move on with your life bro, muache apewe support na huyo mwamba wake anaempiga mpini kwa sasa![]()
Wanawake ni wabinafsi sana. Yaani they just wana take and take but not give.Wanawake km hao wase*ng* tu na hvyo ndivyo wanavyosemaga msemo wao huo wa siku Hz pale mwanaume utakapoamua kudai Mali zako ulizompatia before mkiwa kwenye relationship, na wanasemaga hvyo ili tu kukudhohofsha psychologically ili usifanye vile unataka Fanya Ila nakushaur simama imara.
Hvyo mkuu Wala hauna ushamba wwote km anavyokutangazia hpo mtaani, cha kufanya wew Fanya km ulivyoamua chukua kila kitu Chako ulichompatia kwenye business yke hyo kisha move on with your life bro, muache apewe support na huyo mwamba wake anaempiga mpini kwa sasa![]()
Mkuu saivi naona umekuja kivingine ni kingereza mwanzo mwishoYou dont have problem but the problem was to forgive her before


YeeaH for now i want to forget about swahili soon i will start to talk emglish even in the streetMkuu saivi naona umekuja kivingine ni kingereza mwanzo mwisho![]()
Bro tafuta mke.oa mfanyie ulichomfanyia huyo barmedi (ila siyo biashara ya ulevi).Utafika mbali sana.Nilikuwa kwenye mahusiano na mdada hivi mtu mzima, kwa miaka kama mitatu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza vilevi. Hiyo biashara ni ya kwake binafsi. Sasa katika mahusiano yetu japo kuna wakati alini cheat nikamgundua, lakini aliniomba msamaha sana yakaisha. Akawa kama amejirudi flani hivi hadi nikaanza kushawishika kama vile kutaka kumpa sapoti kwenye wa biashara yake.
Nikaanza kumuongezea mtaji kidogo kidogo kisha nikaanza kumnunulia vitu vya kuboresha ile sehemu ya biashara yake ili papendeze zaidi (decorations). Palivyoanza kuvutia, wateja wakaanza kujaa kumbe miongongoni mwao mmoja akamshawishi, wakaingia kwenye mahusiano kimya kimya bila mimi kujua kwa kuwa mara nyingi nilikuwa bize sana. Siku nilipokuja kugundua akaingiwa na hofu sana, akadhani nitakuja kumdhuru hivyo akaomba ili awe salama, uhusiano wetu uishie hapo.
Sikuwa na kinyongo, nilimkubalia ila tu nikampa sharti moja tu kwamba anipe vitu vyangu vyote (decorations na viti na meza mpya nilizokuwa nimemnunulia pale kwenye biashara) vilivyokuwa vimechangia kupaboresha pale sehemu ili akibaki, abaki kama nilivyokuwa nimemkuta. Na huyo mtu wake mpya aliyekuwa amempata aweze kumboreshea kama anampenda. Kwa kweli nilivichukua, kasoro pesa ya mtaji niliyokuwa nimemuongezea ndio sikuidai tu, ila cha ajabu huyo mdada akawaka sana, akamsimulia kila mtu kwamba mimi ni mshamba, iweje nimfanyie kitu halafu nimnyang'anye? Binafsi ningeweza kumuachia, isipokuwa roho ikaniuma sana na kunifanya nijiulize kwamba uboreshaji wangu wa pale sehemu kwa pesa zangu mwenyewe ndio umesababisha hayo yote kwa hiyo niondoke tu hivi hivi na kumuachia aendelee kutanua huku mimi nikikung'uta makalio na yeye akiendelea kupigwa 'pipe' na mtu mwingine? Kosa langu hapo ni nini? Kuchukua mali zangu?
Mimi nasema hivi,huyu jamaa sio mshamba Wala nini bali anajitambua na alikataa kutapeliwa.Mimi ningemhesabu kama mshamba kama angekubali kuendelea kugeuzwa shamba la bibi na mwanamke ambaye hana mpango wa kutulia.Mwanaume yeyote,usikubali kutapeliwa na hawa wanawake eti kisa tu ukichukua vyako utaonekana mshamba.Mwanaume kamili ni yule anayeweza kusimamia haki zake zisiporwe na wajasiliamwili.wewe ni mshamba...na maeneo hayo huwezi tena kupata demu labda ukanunue malaya
Muwe mnauhudhuria vikao sio kuja kujiliza tu huku , wakati vikao vyote vilitoa mwanga wa nini kifanyikeNilikuwa kwenye mahusiano na mdada hivi mtu mzima, kwa miaka kama mitatu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza vilevi. Hiyo biashara ni ya kwake binafsi. Sasa katika mahusiano yetu japo kuna wakati alini cheat nikamgundua, lakini aliniomba msamaha sana yakaisha. Akawa kama amejirudi flani hivi hadi nikaanza kushawishika kama vile kutaka kumpa sapoti kwenye wa biashara yake.
Nikaanza kumuongezea mtaji kidogo kidogo kisha nikaanza kumnunulia vitu vya kuboresha ile sehemu ya biashara yake ili papendeze zaidi (decorations). Palivyoanza kuvutia, wateja wakaanza kujaa kumbe miongongoni mwao mmoja akamshawishi, wakaingia kwenye mahusiano kimya kimya bila mimi kujua kwa kuwa mara nyingi nilikuwa bize sana. Siku nilipokuja kugundua akaingiwa na hofu sana, akadhani nitakuja kumdhuru hivyo akaomba ili awe salama, uhusiano wetu uishie hapo.
Sikuwa na kinyongo, nilimkubalia ila tu nikampa sharti moja tu kwamba anipe vitu vyangu vyote (decorations na viti na meza mpya nilizokuwa nimemnunulia pale kwenye biashara) vilivyokuwa vimechangia kupaboresha pale sehemu ili akibaki, abaki kama nilivyokuwa nimemkuta. Na huyo mtu wake mpya aliyekuwa amempata aweze kumboreshea kama anampenda. Kwa kweli nilivichukua, kasoro pesa ya mtaji niliyokuwa nimemuongezea ndio sikuidai tu, ila cha ajabu huyo mdada akawaka sana, akamsimulia kila mtu kwamba mimi ni mshamba, iweje nimfanyie kitu halafu nimnyang'anye? Binafsi ningeweza kumuachia, isipokuwa roho ikaniuma sana na kunifanya nijiulize kwamba uboreshaji wangu wa pale sehemu kwa pesa zangu mwenyewe ndio umesababisha hayo yote kwa hiyo niondoke tu hivi hivi na kumuachia aendelee kutanua huku mimi nikikung'uta makalio na yeye akiendelea kupigwa 'pipe' na mtu mwingine? Kosa langu hapo ni nini? Kuchukua mali zangu?
Alitaka kuleta ujasiriamwiliUmefanya safi,tena nenda mdai na hela zako kabisa ili aendelee kuongea zaid.