Eti hapa nilikosea nini?

Eti hapa nilikosea nini?

Wanaume wote wakifanya hovyo si tutashuhudia mengi huko barabarani? Jaribu kumrudishia kama huna matumizi na hivyo vitu ulivyochukua. Heri kutoa kuliko kupokea
 
Nilikuwa kwenye mahusiano na mdada hivi mtu mzima, kwa miaka kama mitatu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza vilevi. Hiyo biashara ni ya kwake binafsi. Sasa katika mahusiano yetu japo kuna wakati alini cheat nikamgundua, lakini aliniomba msamaha sana yakaisha. Akawa kama amejirudi flani hivi hadi nikaanza kushawishika kama vile kutaka kumpa sapoti kwenye wa biashara yake.

Nikaanza kumuongezea mtaji kidogo kidogo kisha nikaanza kumnunulia vitu vya kuboresha ile sehemu ya biashara yake ili papendeze zaidi (decorations). Palivyoanza kuvutia, wateja wakaanza kujaa kumbe miongongoni mwao mmoja akamshawishi, wakaingia kwenye mahusiano kimya kimya bila mimi kujua kwa kuwa mara nyingi nilikuwa bize sana. Siku nilipokuja kugundua akaingiwa na hofu sana, akadhani nitakuja kumdhuru hivyo akaomba ili awe salama, uhusiano wetu uishie hapo.

Sikuwa na kinyongo, nilimkubalia ila tu nikampa sharti moja tu kwamba anipe vitu vyangu vyote (decorations na viti na meza mpya nilizokuwa nimemnunulia pale kwenye biashara) vilivyokuwa vimechangia kupaboresha pale sehemu ili akibaki, abaki kama nilivyokuwa nimemkuta. Na huyo mtu wake mpya aliyekuwa amempata aweze kumboreshea kama anampenda. Kwa kweli nilivichukua, kasoro pesa ya mtaji niliyokuwa nimemuongezea ndio sikuidai tu, ila cha ajabu huyo mdada akawaka sana, akamsimulia kila mtu kwamba mimi ni mshamba, iweje nimfanyie kitu halafu nimnyang'anye? Binafsi ningeweza kumuachia, isipokuwa roho ikaniuma sana na kunifanya nijiulize kwamba uboreshaji wangu wa pale sehemu kwa pesa zangu mwenyewe ndio umesababisha hayo yote kwa hiyo niondoke tu hivi hivi na kumuachia aendelee kutanua huku mimi nikikung'uta makalio na yeye akiendelea kupigwa 'pipe' na mtu mwingine? Kosa langu hapo ni nini? Kuchukua mali zangu?
Wanawake km hao wase*ng* tu na hvyo ndivyo wanavyosemaga msemo wao huo wa siku Hz pale mwanaume utakapoamua kudai Mali zako ulizompatia before mkiwa kwenye relationship, na wanasemaga hvyo ili tu kukudhohofsha psychologically ili usifanye vile unataka Fanya Ila nakushaur simama imara.

Hvyo mkuu Wala hauna ushamba wwote km anavyokutangazia hpo mtaani, cha kufanya wew Fanya km ulivyoamua chukua kila kitu Chako ulichompatia kwenye business yke hyo kisha move on with your life bro, muache apewe support na huyo mwamba wake anaempiga mpini kwa sasa
 
Kosa kubwa ulilolifanya ni kuratarajia chumvi itabadilika na kuwa sukari.
Mwenye asili yake haachi. Mtu akicheat hata akae miaka mingapi akiwa muaminifu ni swala la wakati tu na kutokea kwa mtu sahihi atacheat tena.

Ulipomgundua mara ya kwanza ilitosha kuachana nae kabisa.

Halafu huyo demu hakuwa akikupenda, alikuwa anapenda huduma zako kwake. Mwanamke anaekupenda hasa na akakukosea hata ukimuwekea bunduki ya kichwa bado ataendelea kukuomba msamaha. Sasa huyo kiwepesi tu anakwambia muachane maana anahofia maisha yake.

Kwa kawaida mwanamke hapokonywi zawadi baada ya mahusiano kuisha ila kwa huyo umefanya sahihi kabisa. Muache aongee tu pumbavu zake.

Kama vipi nitumie picha hivyo vitu nimnunulie mchepuko wangu aweke kwenye ofisi yake ya mama ntilie ila nae akizingua nitampokonya tu kama wewe ulivyofanya.
 
Usiwahi kurudi kwa mwanamke aliekusaliti, ningumu kumsahau mtu uliemzoea lakini inatakiwa ujitahidi kujizuia na kujilazimisha ili usimsamehe tena na kurudiana nae.

Pili jiepushe kuwekeza kwa mwanamke ambae ni mpenzi tu hamna ndoa kati yenu, na ukiwekeza bas usimnyang'anye mkiachana , muachie kwasabab ulimpa msaada huo kwa hiyari, vinginevyo ukimnyang'anya jiandae kuingia kwenye fitna kubwa, Mali ni Fitina siku zote.
 
Nilikuwa kwenye mahusiano na mdada hivi mtu mzima, kwa miaka kama mitatu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza vilevi. Hiyo biashara ni ya kwake binafsi. Sasa katika mahusiano yetu japo kuna wakati alini cheat nikamgundua, lakini aliniomba msamaha sana yakaisha. Akawa kama amejirudi flani hivi hadi nikaanza kushawishika kama vile kutaka kumpa sapoti kwenye wa biashara yake.

Nikaanza kumuongezea mtaji kidogo kidogo kisha nikaanza kumnunulia vitu vya kuboresha ile sehemu ya biashara yake ili papendeze zaidi (decorations). Palivyoanza kuvutia, wateja wakaanza kujaa kumbe miongongoni mwao mmoja akamshawishi, wakaingia kwenye mahusiano kimya kimya bila mimi kujua kwa kuwa mara nyingi nilikuwa bize sana. Siku nilipokuja kugundua akaingiwa na hofu sana, akadhani nitakuja kumdhuru hivyo akaomba ili awe salama, uhusiano wetu uishie hapo.

Sikuwa na kinyongo, nilimkubalia ila tu nikampa sharti moja tu kwamba anipe vitu vyangu vyote (decorations na viti na meza mpya nilizokuwa nimemnunulia pale kwenye biashara) vilivyokuwa vimechangia kupaboresha pale sehemu ili akibaki, abaki kama nilivyokuwa nimemkuta. Na huyo mtu wake mpya aliyekuwa amempata aweze kumboreshea kama anampenda. Kwa kweli nilivichukua, kasoro pesa ya mtaji niliyokuwa nimemuongezea ndio sikuidai tu, ila cha ajabu huyo mdada akawaka sana, akamsimulia kila mtu kwamba mimi ni mshamba, iweje nimfanyie kitu halafu nimnyang'anye? Binafsi ningeweza kumuachia, isipokuwa roho ikaniuma sana na kunifanya nijiulize kwamba uboreshaji wangu wa pale sehemu kwa pesa zangu mwenyewe ndio umesababisha hayo yote kwa hiyo niondoke tu hivi hivi na kumuachia aendelee kutanua huku mimi nikikung'uta makalio na yeye akiendelea kupigwa 'pipe' na mtu mwingine? Kosa langu hapo ni nini? Kuchukua mali zangu?
Lakini ulikuwa unapewa mbunye unakojolea. Kwanini usimwachie hivyo vitu kama shukrani kwa kumkojolea miaka mitatu?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Lakini ulikuwa unapewa mbunye unakojolea. Kwanini usimwachie hivyo vitu kama shukrani kwa kumkojolea miaka mitatu?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Pesa na vingine kala sana, na nimeishasema kuwa Hela huwa haionekani kwa macho na ni kama gharama ya service yake kwangu after all itaisha atasahau, ila vile vitu vingine angekuwa akiviona angesema nilimpora fala, hicho ndicho sikutaka
 
Pesa na vingine kala sana, na nimeishasema kuwa Hela huwa haionekani kwa macho na ni kama gharama ya service yake kwangu after all itaisha atasahau, ila vile vitu vingine angekuwa akiviona angesema nilimpora fala, hicho ndicho sikutaka
Jomba una hasira sana. Umemdhalilisha demu na mpenzi wake pia. Maana mpenzi wake was supposed kununua vile ulivyoondoa muda uleule ili pengo lako lisionekane. Kama hakuweza, basi umemdhalilisha.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Ulikosea kumchukulia malaya kama mwanamke mwenye staha zake.

Umemkamata mara 2 ila kaa ukijua kuna zaidi ya hao. Huyo ni muuza papa anaetumia grocery yake kama kituo cha kutafuta wateja.

Na wewe aidha kwa upumbavu ama upofu wa mapenzi ukaenda kumboreshea sehemu yake ya kujiuzia.

Huyo sio viti tu, nyang'anya hata chupi kama ulishawahi mnunulia.
 
Ulikosea kumchukulia malaya kama mwanamke mwenye staha zake.

Umemkamata mara 2 ila kaa ukujua kuna zaidi ya hao. Huyo ni muuza papa anaetumia grocery yake kama kituo cha kutafuta wateja.

Na wewe aidha kwa upumbavu ama upofu wa mapenzi ukaenda kumboreshea sehemu yake ya kujiuzia.

Huyo sio viti tu, nyang'anya hata chupi kama ulishawahi mnunulia.
Umesema vema
 
Kosa lako ni kumuachia na huo mtaji kaka…Siku nyingine usiwekeze kwa mwanamke ambae sio mkeo au usiezaa nae…Kama itatokea unatapenda tena na unataka kuwekeza basi mpeleke ufundi cherehani tu akajifunze kushona…
 
Back
Top Bottom