The Shah of Tanganyika
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 602
- 1,572
Wanaume wote wakifanya hovyo si tutashuhudia mengi huko barabarani? Jaribu kumrudishia kama huna matumizi na hivyo vitu ulivyochukua. Heri kutoa kuliko kupokea
Ndiyo, ila yuko mbali kidogo kwa sasaUna mke?
Hela ya mtaji kwa nini hujachukua??
MwanzaKwani umetokea mkoa gani??
Ebu tuanzie hapo kwanza ili usije ulapata lawama bila sababu...😊
Hivi nikuulize swali ulishawahi kuhonga halafu ukachapiwa wewe?Kama ulimpa kwa Upendo na kama kweli wewe ni mwanaume, na sio mvulana, huna sababu ya kuvichukua. Kwa hiyo hivyo vitu ni hongo ya mahusiano au msaada?
Wanawake km hao wase*ng* tu na hvyo ndivyo wanavyosemaga msemo wao huo wa siku Hz pale mwanaume utakapoamua kudai Mali zako ulizompatia before mkiwa kwenye relationship, na wanasemaga hvyo ili tu kukudhohofsha psychologically ili usifanye vile unataka Fanya Ila nakushaur simama imara.Nilikuwa kwenye mahusiano na mdada hivi mtu mzima, kwa miaka kama mitatu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza vilevi. Hiyo biashara ni ya kwake binafsi. Sasa katika mahusiano yetu japo kuna wakati alini cheat nikamgundua, lakini aliniomba msamaha sana yakaisha. Akawa kama amejirudi flani hivi hadi nikaanza kushawishika kama vile kutaka kumpa sapoti kwenye wa biashara yake.
Nikaanza kumuongezea mtaji kidogo kidogo kisha nikaanza kumnunulia vitu vya kuboresha ile sehemu ya biashara yake ili papendeze zaidi (decorations). Palivyoanza kuvutia, wateja wakaanza kujaa kumbe miongongoni mwao mmoja akamshawishi, wakaingia kwenye mahusiano kimya kimya bila mimi kujua kwa kuwa mara nyingi nilikuwa bize sana. Siku nilipokuja kugundua akaingiwa na hofu sana, akadhani nitakuja kumdhuru hivyo akaomba ili awe salama, uhusiano wetu uishie hapo.
Sikuwa na kinyongo, nilimkubalia ila tu nikampa sharti moja tu kwamba anipe vitu vyangu vyote (decorations na viti na meza mpya nilizokuwa nimemnunulia pale kwenye biashara) vilivyokuwa vimechangia kupaboresha pale sehemu ili akibaki, abaki kama nilivyokuwa nimemkuta. Na huyo mtu wake mpya aliyekuwa amempata aweze kumboreshea kama anampenda. Kwa kweli nilivichukua, kasoro pesa ya mtaji niliyokuwa nimemuongezea ndio sikuidai tu, ila cha ajabu huyo mdada akawaka sana, akamsimulia kila mtu kwamba mimi ni mshamba, iweje nimfanyie kitu halafu nimnyang'anye? Binafsi ningeweza kumuachia, isipokuwa roho ikaniuma sana na kunifanya nijiulize kwamba uboreshaji wangu wa pale sehemu kwa pesa zangu mwenyewe ndio umesababisha hayo yote kwa hiyo niondoke tu hivi hivi na kumuachia aendelee kutanua huku mimi nikikung'uta makalio na yeye akiendelea kupigwa 'pipe' na mtu mwingine? Kosa langu hapo ni nini? Kuchukua mali zangu?

Hicho ndio kitu sipendi, kwa kifupi sipendi kuonekana falaHivi nikuulize swali ulishawahi kuhonga halafu ukachapiwa wewe?
Oya usimsikilize ushauri wake huyo we chukua vyako sepa mkuu,Tulikuwa na plani ya kujiendeleza pamoja ili tuwe vizuri, sasa mwenzangu kumbe alikuwa na yake. Kama ni hongo ya kawaida nishampa sana. Hapa nazungumzia vitu vilivyokuja kumpa kiburi.
Lakini ulikuwa unapewa mbunye unakojolea. Kwanini usimwachie hivyo vitu kama shukrani kwa kumkojolea miaka mitatu?Nilikuwa kwenye mahusiano na mdada hivi mtu mzima, kwa miaka kama mitatu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza vilevi. Hiyo biashara ni ya kwake binafsi. Sasa katika mahusiano yetu japo kuna wakati alini cheat nikamgundua, lakini aliniomba msamaha sana yakaisha. Akawa kama amejirudi flani hivi hadi nikaanza kushawishika kama vile kutaka kumpa sapoti kwenye wa biashara yake.
Nikaanza kumuongezea mtaji kidogo kidogo kisha nikaanza kumnunulia vitu vya kuboresha ile sehemu ya biashara yake ili papendeze zaidi (decorations). Palivyoanza kuvutia, wateja wakaanza kujaa kumbe miongongoni mwao mmoja akamshawishi, wakaingia kwenye mahusiano kimya kimya bila mimi kujua kwa kuwa mara nyingi nilikuwa bize sana. Siku nilipokuja kugundua akaingiwa na hofu sana, akadhani nitakuja kumdhuru hivyo akaomba ili awe salama, uhusiano wetu uishie hapo.
Sikuwa na kinyongo, nilimkubalia ila tu nikampa sharti moja tu kwamba anipe vitu vyangu vyote (decorations na viti na meza mpya nilizokuwa nimemnunulia pale kwenye biashara) vilivyokuwa vimechangia kupaboresha pale sehemu ili akibaki, abaki kama nilivyokuwa nimemkuta. Na huyo mtu wake mpya aliyekuwa amempata aweze kumboreshea kama anampenda. Kwa kweli nilivichukua, kasoro pesa ya mtaji niliyokuwa nimemuongezea ndio sikuidai tu, ila cha ajabu huyo mdada akawaka sana, akamsimulia kila mtu kwamba mimi ni mshamba, iweje nimfanyie kitu halafu nimnyang'anye? Binafsi ningeweza kumuachia, isipokuwa roho ikaniuma sana na kunifanya nijiulize kwamba uboreshaji wangu wa pale sehemu kwa pesa zangu mwenyewe ndio umesababisha hayo yote kwa hiyo niondoke tu hivi hivi na kumuachia aendelee kutanua huku mimi nikikung'uta makalio na yeye akiendelea kupigwa 'pipe' na mtu mwingine? Kosa langu hapo ni nini? Kuchukua mali zangu?
Pesa na vingine kala sana, na nimeishasema kuwa Hela huwa haionekani kwa macho na ni kama gharama ya service yake kwangu after all itaisha atasahau, ila vile vitu vingine angekuwa akiviona angesema nilimpora fala, hicho ndicho sikutakaLakini ulikuwa unapewa mbunye unakojolea. Kwanini usimwachie hivyo vitu kama shukrani kwa kumkojolea miaka mitatu?
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Jomba una hasira sana. Umemdhalilisha demu na mpenzi wake pia. Maana mpenzi wake was supposed kununua vile ulivyoondoa muda uleule ili pengo lako lisionekane. Kama hakuweza, basi umemdhalilisha.Pesa na vingine kala sana, na nimeishasema kuwa Hela huwa haionekani kwa macho na ni kama gharama ya service yake kwangu after all itaisha atasahau, ila vile vitu vingine angekuwa akiviona angesema nilimpora fala, hicho ndicho sikutaka


Na hajaweza kumnunulia hadi hii leo, wanag'aa macho tuJomba una hasira sana. Umemdhalilisha demu na mpenzi wake pia. Maana mpenzi wake was supposed kununua vile ulivyoondoa muda uleule ili pengo lako lisionekane. Kama hakuweza, basi umemdhalilisha.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Umesema vemaUlikosea kumchukulia malaya kama mwanamke mwenye staha zake.
Umemkamata mara 2 ila kaa ukujua kuna zaidi ya hao. Huyo ni muuza papa anaetumia grocery yake kama kituo cha kutafuta wateja.
Na wewe aidha kwa upumbavu ama upofu wa mapenzi ukaenda kumboreshea sehemu yake ya kujiuzia.
Huyo sio viti tu, nyang'anya hata chupi kama ulishawahi mnunulia.