Eti Dar Express limewaka moto?

Eti Dar Express limewaka moto?

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2008
Posts
3,173
Reaction score
485
Wandugu salamu
Nimepewa nyepesi kuwa Dar Express litokalo Ar kwenda Dar limewaka moto na kulazimu watu kuruka kwa kupitia madirishani. Mlioko huko tupeni habari kamili. We hope hakuna madhara makubwa kwa abiria.
 
huku dar jua tupu moto utoke wapi moto wasubiri ahera huo sio moto waambie hiyo ni kioto
 
Basi la Dar Express linawaka moto hivi sasa huko Kitumbi abiria watokea madirishani.Na Lori laamguka na kufunga barabara mkoani Pwani
 
Basi la Dar Express linawaka moto hivi sasa huko Kitumbi abiria watokea madirishani.Na Lori laamguka na kufunga barabara mkoani Pwani
Shukrani kwa taarifa mkuu, na pole kwa abiria wote waliopata ajali Mungu awajalie wapone haraka kama majeruhi wapo. Chanzo cha kuwaka kwa basi hilo ni nini?
 
inasikitisha sana mwisho wa mwaka tuweni makini mungu awabariki wote.
 
Back
Top Bottom