Eti ccm mbele kwa mbele!!!

Eti ccm mbele kwa mbele!!!

son of king john2

Senior Member
Joined
Jan 11, 2014
Posts
131
Reaction score
33
kuipigia kelele ccm kuendelea kuwa madarakani mika mitano ni kujiandaa kulalamika malalamishi ya aina moja kwa miaka mingne mitano yaani

maji hamna.....
umeme hamna
mishahara haipandi
huduma za afya mbovu
shule hazina madawati
wasanii hatuna hati miliki
migomo ya wanavyuo....
kina mama kujifungulia chini
na mengne kama hayo


pole kama hujajiandaa kulalamika alafu unasema CCM mbele kwa mbele....
 
kuipigia kelele ccm kuendelea kuwa madarakani mika mitano ni kujiandaa kulalamika malalamishi ya aina moja kwa miaka mingne mitano yaani

maji hamna.....
umeme hamna
mishahara haipandi
huduma za afya mbovu
shule hazina madawati
wasanii hatuna hati miliki
migomo ya wanavyuo....
kina mama kujifungulia chini
na mengne kama hayo


pole kama hujajiandaa kulalamika alafu unasema CCM mbele kwa mbele....

Tumeipenda wenyewe...na mvimbe mpasuke...mwandamane kwenye road zetu
 
Back
Top Bottom