Eti anataka tusahau yaliyopita..........

kwa nini ukubali kutumiwa kama tissue?

aliamua kwa mapenzi yake kukuacha. ina maana hakukupenda akaenda kuolewa na mwanaume aliyempenda

umebadilika nini mpaka arudi kwako? umeongezeka nini cha ajabu? kama hukufaa huko nyuma kwa nini ufae sasa?

au kwa vile maisha yanamsumbua?
au kwa vile anatafuta wa kumlelea mtoto?
au kwa vile kapigika mtaani?

chapa lapa. hakufai huyo
 
True kabisa hapo na naona ndicho alichofanya
Still mapenzi kwa yule dada yapo na ndo maana ana guts za kuja kuuliza ushauri

na nahisi watakuwa wamesha reconcile ila tu hajaliweka wazi hahahaha
 
Kweli kabisa wengine hatuna roho nyepesi kiasi hicho kusahau na kuona kwamba kila kitu kiko sawa
Na then unafukia mashimo unaweka lami mpya ukipita hapo kesho yake unasahau kabisa kwamba pale palikuwa na shimo
Hiyo roho wengine hatuna
Kupewa mimba na mwanaume mwingine wakati bado penzi langu na yeye halijawa na msimamo unaoeleweka licha ya yale yote niliyomfanyia na then ameenda huko ameona maisha hayaendi anarudi kuja kula matapishi yake hiyo ni ticket kuwa hakuwa na mapenzi na mimi
Na je alitegemea wakati huo wote akiwa ameolewa huyu jamaa hakuwahi kuwa na mpenzi mwingine
Sina cha kuongeza ntaharibu... Nidai like zako....
 
huyu dada si kwamba hakuona umuhimu au thaman ya jamaa ila alikuwa amehadaika na amekuja kushtuka akiwa tayari kanasa na alifanya ustaarabu kumkwepa jamaa ili isilete mgogoro zaidi
Mh....anaeza kuhadaika tena akaja mletea mwenzie tabu kwa mara ya pili...

Mie bado naamini shida ndio zimemrudisha kwa jamaa, angekuwa mambo safi wala asingemkumbuka..
 
na nahisi watakuwa wamesha reconcile ila tu hajaliweka wazi hahahaha

na bila shaka wako pamoja au kama sio pamoja washakutana
Ehhh tena jamaa alikataliwa hata kufanya mapenzi kisa anasubiri kuoa wakati dada wa watu alikuwa na mwingine anayefaidi
Kuja kushtuka mimba tayari
Then out of nowhere anakuja kuliliwa sasa kuwa aise naomba turudiane na shetani anavyosingiziwa unaaambiwa ni shetani tuu alinipitia
 
Mh....anaeza kuhadaika tena akaja mletea mwenzie tabu kwa mara ya pili...

Mie bado naamini shida ndio zimemrudisha kwa jamaa, angekuwa mambo safi wala asingemkumbuka..

darasa lipo hapa hapa kwani lazima tujifunze kwa wengine na wengine nao wanatakiwa kujifunza kwetu
 
na bila shaka wako pamoja au kama sio pamoja washakutana
Ehhh tena jamaa alikataliwa hata kufanya mapenzi kisa anasubiri kuoa wakati dada wa watu alikuwa na mwingine anayefaidi
Kuja kushtuka mimba tayari
Then out of nowhere anakuja kuliliwa sasa kuwa aise naomba turudiane na shetani anavyosingiziwa unaaambiwa ni shetani tuu alinipitia

lakini si tatizo maana hisia na moyo ukisema nao ni sawa .. ila anapaswa akae na mwenzake waongee na kujipanga upya
 
ndo ivo
sasa hivi anataka kwenda next step ya kuoa
ila ana woga fulani hivi

ngoja aoe mke wa mtu afu waje wamlambe

na nahisi watakuwa wamesha reconcile ila tu hajaliweka wazi hahahaha
 
ndo ivo
sasa hivi anataka kwenda next step ya kuoa
ila ana woga fulani hivi
ngoja aoe mke wa mtu afu waje wamlambe

kongosho .. huyu jamaa katoa tahadhari kwa madai kwamba jamaa alishaoa mwanamke mwingine kwa maana nyingine huyo mdada yuko huru nae
 
Sasa mkuu,necta jana imetema mzigo,ya nin kula makombo na wkt vyakula fresh viko mezani.toka nduki kwa huyo mmanzi.
 
maisha ni safari ndefu sometimes huwa tunafanya mambo mengi bila kujua matokeo yake.ila maisha sometimes huwa yanatupa second chance,kama huyo binti ndo furaha yako wewe chukua tu.maana unaweza kuchukua mwingine mambo yakawa hayohayo au akawa na matatizo mengine
angalia furaha ya moyo wako
life ni happiness tu ayo mengine ni ziada tu
so if the girl is your happyness then mchukue dunia ni hii hii hamna alie mkamilifu
 
  • Thanks
Reactions: BPM
lakini si tatizo maana hisia na moyo ukisema nao ni sawa .. ila anapaswa akae na mwenzake waongee na kujipanga upya

Sawa mkuu ila sio katika kurudiana aise
maana what if maisha ya yule aliyempa mtoto yakiwa mazuri akarudi kuomba samahani
What will happen kwa jamaa
 
maisha ni safari ndefu sometimes huwa tunafanya mambo mengi bila kujua matokeo yake.ila maisha sometimes huwa yanatupa second chance,kama huyo binti ndo furaha yako wewe chukua tu.maana unaweza kuchukua mwingine mambo yakawa hayohayo au akawa na matatizo mengine
angalia furaha ya moyo wako life ni happiness tu ayo mengine ni ziada tu
so if the girl is your happyness then mchukue dunia ni hii hii hamna alie mkamilifu

smile ni kweli
 
Sawa mkuu ila sio katika kurudiana aise
maana what if maisha ya yule aliyempa mtoto yakiwa mazuri akarudi kuomba samahani
What will happen kwa jamaa

jamaa mbona ameshaweka wazi kwamba bibie yuko huru kwani jamaa yake wa kwanza (mzazi mwenzie) almeshaoa mwanamke mwingine .. hapo jamaa ameshaonyesha ni kiasi gani anampenda mdada
 
jamaa mbona ameshaweka wazi kwamba bibie yuko huru kwani jamaa yake wa kwanza (mzazi mwenzie) almeshaoa mwanamke mwingine .. hapo jamaa ameshaonyesha ni kiasi gani anampenda mdada

Mkuu anything can happen kwa jamaa
Je akimwacha mke aliye nae sasa akarudi kusema kuwa shetani alimpitia na bado anampenda mzazi mwenzake hapo inakuwaje
Wanawake ni vigeugeu mbaya
 
  • Thanks
Reactions: BPM
na bila shaka wako pamoja au kama sio pamoja washakutana
Ehhh tena jamaa alikataliwa hata kufanya mapenzi kisa anasubiri kuoa wakati dada wa watu alikuwa na mwingine anayefaidi
Kuja kushtuka mimba tayari
Then out of nowhere anakuja kuliliwa sasa kuwa aise naomba turudiane na shetani anavyosingiziwa unaaambiwa ni shetani tuu alinipitia
Leo unashusha mapoint ya ukweli sana, itakuwa ulisali asubuhi...

Aaah sijui kwa nini niko via mobile, nashindwa kukutendea haki...
 
Mkuu anything can happen kwa jamaa
Je akimwacha mke aliye nae sasa akarudi kusema kuwa shetani alimpitia na bado anampenda mzazi mwenzake hapo inakuwaje
Wanawake ni vigeugeu mbaya

hahaha yawezekana pia japo ni nadra sana kwani kama jamaa akichukua basi ndo ushindi ila naamini itakuwa rahisi kuhamia kwingine kwani atakuwa na matarajio makubwa
 
Back
Top Bottom