BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
kwa nini ukubali kutumiwa kama tissue?
aliamua kwa mapenzi yake kukuacha. ina maana hakukupenda akaenda kuolewa na mwanaume aliyempenda
umebadilika nini mpaka arudi kwako? umeongezeka nini cha ajabu? kama hukufaa huko nyuma kwa nini ufae sasa?
au kwa vile maisha yanamsumbua?
au kwa vile anatafuta wa kumlelea mtoto?
au kwa vile kapigika mtaani?
chapa lapa. hakufai huyo
aliamua kwa mapenzi yake kukuacha. ina maana hakukupenda akaenda kuolewa na mwanaume aliyempenda
umebadilika nini mpaka arudi kwako? umeongezeka nini cha ajabu? kama hukufaa huko nyuma kwa nini ufae sasa?
au kwa vile maisha yanamsumbua?
au kwa vile anatafuta wa kumlelea mtoto?
au kwa vile kapigika mtaani?
chapa lapa. hakufai huyo