Eti anaoteshwa?

JICHO LA TATU

JF-Expert Member
Sep 28, 2012
306
49
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.
 
kama wewe ni mama huruma chukua hatua mapema kama unajitambua muoneshe bwana ako nadhani ataona noma na chengine isije ikawa ulimpa kisela halafu kakuganda kama ruba ndio uje umtoe nishai humu jamvini..maana hizo ndio zenu mashostito..
 
kama wewe ni mama huruma chukua hatua mapema kama unajitambua muoneshe bwana ako nadhani ataona noma na chengine isije ikawa ulimpa kisela halafu kakuganda kama ruba ndio uje umtoe nishai humu jamvini..maana hizo ndio zenu mashostito..



Ningekuwa nimempa basi kusingekuwa na haja ya kuposti na kuomba msaada
 
Huyo ni tapeli wa kawaida na muogope kama ukoma. Muulize huyo Bwana kwanini anamuotesha yeye peke yake. Isitoshe nani ataamini upuuuzi unaoitwa ndoto kwenye karne hii? Kama kweli anakupenda na kukufaa kwanini asiwe mkweli badala ya visingizio vya kitoto? Kesho atakuoa na akikuchoka anakwambia ima Bwana amemuotesha aoe mke wa pili au akuache kama si kukutoa kafara. Yesu aliwahi kuonya kuhusu kuwaogopa waota ndoto. Maana hawa ni manabii wa uongo ambao kwa sasa wamejaa. Kama anaoteshwa basi mwambie akamuoa Getrude Rwakatare maana hana mume.
 
Ningekuwa nimempa basi kusingekuwa na haja ya kuposti na kuomba msaada

ila unampango gani nae kama hujaridhika nae chukua uamuzi wakumuonesha mshkadau mwenyewe ndio huwa tunafanya hivyo hasa unapo sumbuliwa na mdada ambaye humpendi so unaweza tumia idea hiyo kwako sawa mama..
 
Huyo ni tapeli wa kawaida na muogope kama ukoma. Muulize huyo Bwana kwanini anamuotesha yeye peke yake. Isitoshe nani ataamini upuuuzi unaoitwa ndoto kwenye karne hii? Kama kweli anakupenda na kukufaa kwanini asiwe mkweli badala ya visingizio vya kitoto? Kesho atakuoa na akikuchoka anakwambia ima Bwana amemuotesha aoe mke wa pili au akuache kama si kukutoa kafara. Yesu aliwahi kuonya kuhusu kuwaogopa waota ndoto. Maana hawa ni manabii wa uongo ambao kwa sasa wamejaa. Kama anaoteshwa basi mwambie akamuoa Getrude Rwakatare maana hana mume.


Thank you,na hii nayo inamantiki
 
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.

Kama humtaki mwambie point blank kuwa HUMTAKI, mambo ya ndoa siyo ya kubahatisha. Kwanza mwongo, uongo huo huwa wanautumia walokole akitaka kumpata mtu. Acha biashara hiyo kabisa, ni ushetani afadhali angelisema nakupenda, lakini ya kuoteshwa anataka akuonje akutupilie kwa mbali!
 
Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!
 
Una vituko sana!


Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!
 
Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!
Itakuwa vipi kama huyo Jamaa akimkatia hiyo Im?
 
Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!

yaani akili zako za mchuzi lakini saa zingine zinafanya kazi eeh?
Au amuambie na yeye kaoteshwa kuwa mume wake mtarajiwa atamjengea nyumba ndani ya mwaka mmoja kwa jina la bibie. Waone huo mwaka utakavyoisha na ndoto kuyayuka.
 
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.

Angekuwa kweli kaoteshwa na wewe pia ungekuwa umeoteshwa dhidi yake maana hayo mambo huwa yanagusa pande zote mbili. Hiyo ni janja yake tu ya kutongoza, kwa ushauri kama humpendi achana naye. Si vyema kujilazimisha kuingia kwenye mahusiano ambayo moyo wako haujaridhika nayo. Take Care.
 
Mawazo ya binti fulani ni sawa na icecream juani

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Thubuuutu yake!!! Akimkatia sio ishu ANAAGIZA 2M YA SOFA, IKITOKA INAFATIA 4M YA KIWANJA!!!! LOLEST! There is always more than 1 way to kill a person!!! Hata kumtosa mtu pia! LOL! Watu wengine maneno hawaelewi, hadi PICHA!
Heshima kwako mdada, hapo sina swali
 
Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!

lara 1 sijui maneno huwa unayapata wapi? Khaaaa!
Kwa 1m hata mimi kama sina nia ningeingia mitini!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom