JICHO LA TATU
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 306
- 49
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.