twazipenda hasaaa asikwambie mtu....mie wangu nshamkataza kutumia hayo na ametii amri!
Bibi ni mtu wa Mungu.
We ushatokewa na kitu kama hiki? (Sorry, wewe ni he au she?)
Hahahhahaha.......we ni mkareeee........ mi natinga andawea yake kama Beckham! (Maswali mengine hayana adabu LOL)
mzee, dawa ni kuacha kuoga tu ili wafaidi zaidi ile harufuAseee!!!
Kumbe Mnapenda harufu ya majashooeee!!!
sasa mbona hamtuambii tuache kutumia haya ma-roll on na body spray??
Issue si kuchukua shati safi au chafu.......Ishu ni kuchukua nguo yangu, ambayo haimhusu na wala hataivaa.... hicho tu mpenzi.Mimi ni sheeeeeeeee, mimi inanitokea kwa mr wangu, anachukua hata kanga ila hajawahi niambia hiyo sababu aliyosema bibi nami sijawahi muhisi vibaya, kwangu naomna hakuna ushirikina, au umehisi hivyo kwa vile anavyochukua shati chafu?
Mimi Hamis bin iJumaa......... nakukanya kwa hii name calling....ukiulizwa yanayokuhusu ndo hayana adabu..ya bibi ukuona ivo?
naenda kumwambia bib ...naenda kukusemelea ..wewe umedema bib amechunpa na shat lako lenye majasho...
ehh ivi una enga chifu ya said apo?
ata ya delo itanifaaa!!
Issue si kuchukua shati safi au chafu.......Ishu ni kuchukua nguo yangu, ambayo haimhusu na wala hataivaa.... hicho tu mpenzi.
Huyo mmeo anavyochukua khanga, huwa unamfungia na kondom au?
Hahahahaa!!!Babu..............kweli una visa
Haya bana mie naogopa kusema!! (..............Una uhakika huyu bibi hajameza mtoto tumboni?)
Mi ctaki iwe maana utahamisha mapenzi Babu
Heshima zenu waungwana.....Ilikuwa wikiendi hatari kabisa (ongeeni na TBL wafunge kiwanda kwa afya yangu LOL)
Ni hivi:
Bibi yenu amesafiri. Kilichoniacha hoi, eti ameondoka na shati langu ambalo halijafuliwa. Namuuliza kulikoni ananiambia anapokuwa mbali nami anapenda anuse shati langu ili aipate harufu yangu nafsi yake itulie. Anaipenda eti.
Hivi wanungwana, hii inaweza kuwa kweli au bibi yenu anataka kuniloga?...Kuna wengine ishawatokea hii? Eti nyie wa jinsia ya kike, huwa mnafanyaga hivyo?....Kama vipi jamani niwahi kwa Kakobe na Mama Rwakatare waniwekee kinga.
Babu anarudi kitandani kutafakari kwa kina.
Na harufu yangu.
Na hivi kuna mgomo wa maji raha iliyoje mama mwenye nyumba halazimishi uoge!mzee, dawa ni kuacha kuoga tu ili wafaidi zaidi ile harufuaisee
hahaloooooooooooooooo halooooo babuuuu..halooo yababuuuu.....harufuuuu:fish:!!!!!!!!!!
nkweli ...akienda mbali kuwa na shat lake muhimu..sjui kwanin lakin ni km THERAPY fulan ivi km ukimmsii mtu aswa uliye nae kwenye mahusiano na mnapendana kikweli..
ni km vle kutembea na picha yake...lakin ukiwa na km shat ambalo lna harufu yake BASI HALI INAKUWA HAI ZAID...!!!!!
Hujambo rafiki? haya nambie hongera ya nini vile?mhhhhh!!!!!
Ila nakupa hongera babu...maana mambo mswanu kabisa!
Ahaaaa.... nlikuwa sijuagi mwaego........... nami nikisafiri ntaondoka na gagulo lake kulaaleki..Acha hizo wewe, nilimzowesha mwenyewe akitoka namuwekea, na mwenyewe nikisafiri natafuta nguo yake yoyote nachukua tumezoea na hakuna ushirikina ni upendo tu, usimfikirie vibaya bibi, ni upendo wake kwako amezoea harufu yako sasa kama haupo anaona ataimiss tu na si vinginevyo, usiende mbali bure ukaanza kuyatuta yaliyolala, just trust her, its love nothing else
Aisee.... nashukuru Mkuu. Na hili ndilo Neno La Mungu.mkuu Asprin usiwe na hofu ni kweli kabisa mamsap wangu toka tuko uchumba alikuwa ananiambia kuwa anaipenda sana harufu yangu. mpaka leo hupenda sana kuweka pua yake maeneo ya shingo yangu anasema my scent rocks her. Pili kuna dada mmoja kazini alishawahi kunitamkia akiwa karibu na mie anaenda coz harufu yangu anaipenda, baadaye akanitumia mail kuniulizia perfum gani natumia wakati mie nilikuwa situmii perfum yoyote ile. so mkuu mshukuru mungu hapo! your wife kweli anaku miss so scent yako itamtuliza.
Napenda vitu!!!Kumbe wewe huwa unapenda nini? Mawe?
Mimi Hamis bin iJumaa......... nakukanya kwa hii name calling....