Eti ana mimba yangu!!

Eti ana mimba yangu!!

The Magnificent

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
2,694
Reaction score
1,250
Ni kweli nilifanya nae mapenzi siku ya 6 tangu kuanza bleeding,leo ananiambia ujauzito wangu,nimemtoa nduki kwanza....nifanye utafiti kwanza kama inawezekana.....

Eti wadau,siku ya 6 inawezekana kweli?? kwa elimu yangu ya baiolojia kwa vidato sita,,,,,sioni uwezekano kwa kweli....nahisi nataka kubambikiwa mzigo hapa...

Kwa wataalamu wanaofahamu zaidi kuhusu huu utaratibu naomba wanisaidie ufahamu...

With Great Thanks
The Magnificient..
 
Last edited by a moderator:
Can pregnancy be detected that early?

And did you guys knock boots before that or was that the first time?

Whatever the case might be, if you admit that you guys had intercourse, then don't deny it completely and neither accept it readily.

Just wait until the baby is born and have a genetic test done.
 
Ni kweli nilifanya nae mapenzi siku ya 6 tangu kuanza bleeding,leo ananiambia ujauzito wangu,nimemtoa nduki kwanza....nifanye utafiti kwanza kama inawezekana.....

Eti wadau,siku ya 6 inawezekana kweli?? kwa elimu yangu ya baiolojia kwa vidato sita,,,,,sioni uwezekano kwa kweli....nahisi nataka kubambikiwa mzigo hapa...

Kwa wataalamu wanaofahamu zaidi kuhusu huu utaratibu naomba wanisaidie ufahamu...

With Great Thanks
The Magnificient..
Ndugu, ukipanda shamba tarajia mavuno, hata kama utapanda wakati wa kiangazi ukungu unatosha kuotesha mbegu kwenye ardhi yenye rutuba


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Du, umetia Mbegu. Sasa ikawaje na wewe Ucheze Pekupeku?

Kweli Mdudu atatumaliza Watanzania na Mchina achukue nchi kirahisiiii...
 
haipo hiyo kitu mkuu anataka akubambike, muulize vizuri usikute anakutania tu akuone ulivyo stable katika matatizo
 
Acha kukimbia majukumu bandugu, umeambiwa siku ya sita baada ya kumaliza bleeding wewe unajibaraguza kuamini kwamba ni cku ya 6 tangu aanze bleeding!
 
Cha muhimu ujue mzunguko wake ni wa siku ngapi,wanawake wote mizunguko si sawa.
 
Nikuchagulie jina? Ingekuwa umepeleka ujumbe huu mbele ya sheria lazima utalelea hiki kiumbe kwa njia moja ama nyingine.
 
lolz! Ina mana ilikuwa hit and run alafu hukurumia dhana? Mimba haina hiyana huingia mara moja kama hali ya hewa shwari.
 
avatar34614_5.gif


Khe khe khe he khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
avatar34614_5.gif


Khe khe khe he khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

uwiiii una majanga ww yani unamcheka mwenzio namna hii,mshauri aanze kuhudhuria kliniki
 
kwa knowledge nliyonayo siku ya tisa huwa ndo siku ya hatari....na sperm zina uwezo wa kuishi ndani ya mwanamke kwa masaa 72 ambayo ni siku tatu....ndani ya hizo siku 3 ikikutana na yai mimba lazima ishike isipokutana nalo znakufa...kwahiyo kwa mujibu wa maelezo yako huyo dada anaweza akawa ana mimba yako...nenda hospital akapime ili upate uhakika kama kweli anayo na utaweza kujua ina mda gani.
 
Mkuu mimba ni yako..jipange tu kwenye ulezi!... Mentor yamewahi kukuta ni nini?...naona cheko lako si haba..
Ila mleta uzi sijapenda ulipojisifia like 'nimemtoa nduki'.....hata kama una doubt kwamba sio yako but that aint fair bwana..kumbuka ulivokuwa unamkatikia bila ndomu...lolz
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom