Ethiopia wamejenga reli ya treni ya umeme mpaka bandari ya Djibouti,hawatatumia bandari ya DSM!

iparamasa

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
13,437
14,927
Juzi tu Ethiopia wamezindua usafiri wa treni ya umeme kutoka Ethiopia mpaka bandari ya Djibouti,bandari hii iko baharini jirani na ethiopia kuliko ya Dsm.

Tumesikia JPM akisema eti Ethiopia watakuwa wanatumia bandari ya DSM kuleta mizigo kisha wanaisafirisha mpaka Ethiopia

Kwanza umbali ni mkubwa,mzigo ufike Tanzania kisha urudi nyuma kwenda kenya,somalia,kisha Ethiopia.

Pili,hawa jamaa wamezindua reli mpya ya kisasa ya umeme hata mwaka haijamaliza,mabehewa ya abiria ni mazuri kuliko bombadier (kwa ndani)


Hivi nani alishauri hili liwe sehemu ya mazungumzo?

Nadhani waziri Mkuu wa Ethiopia kaondoka na question mark kuhusu tanzania
 
Mkuu acha roho mbaya. Me nadhani umefurahi sana kusikia hivyo sijui unapata faida gani. We sijui mtu wa asia.

Bila shaka wewe utakua muhindi au mwarabu uliezamia tanzania.
Google utaona Ethiopia ndio wamezindua treni ya kisasa nadhani mwaka jana mwishoni au mwaka huu mwanzoni,ni treni inakimbia kwa kasi sana,itakuwa inabeba mizigo na makontena kutoka bandari ya Djibouti,

Kuna mfanyabiashara aliye na akili ashushe mzigo DSM kisha aanze safari ya kurudi kenya-somalia-ethiopia au apandishe kontena kwenye ndege mpaka Ethiopia baada ya kulitoa bandarini?
 
Shida ni kwamba tunajidanganya sana,wewe unadhan nani akubali kusafirisha mzgo toka DSM to Addis!!!?!!Does It make sense!
Sijabisha na wala sijakubali kwa sababu hiyo habari sijaifatilia kwa kina.

Ila mleta mana ana speech imekaa kishabiki na kufurahia. Yani kwenye nafsi anasikia raha sana akiona mambo hayaendi sawa nchini.
 
Sijabisha na wala sijakubali kwa sababu hiyo habari sijaifatilia kwa kina.

Ila mleta mana ana speech imekaa kishabiki na kufurahia. Yani kwenye nafsi anasikia raha sana akiona mambo hayaendi sawa nchini.
Jadili hoja,hukusoma hata atlas shule ya msingi?
 
Back
Top Bottom