System ya kudumu iliiweje? Please wacha kabisa mpango wako huo, hii ni afrika si ulaya na marekani
SERIKALI YETU MBONA HAILIFIKIRII HILO NA WAKATI UPEPO NI KITU KISICHO NA GHARAMA?TENA NI SYSTEM YA KUDUMU mradi wa kina mwakyembe singida umefikia wapi?
si mradi wa akina mwakyembe, sema ufisadi wa akina mwakyembe. acha double standard mkuu.