Et ni kweli robo ya walimu secondary wapo hv?

majosa jr

Member
Feb 23, 2014
58
14
kuna tetes et robo ya walimu sekondari wanafundisha somo la kiswahili na historia je wadau leten ukweli hapa jamvini
 
Sio robo ni nusu ya Walimu wote wanafundisha kiswahili na History uhaba ni walimu wa kingereza na science.
 
Suala si robo au nusu bali kiujumla walimu wa masomo ya arts ni wengi na ujue kuwa Histoy ina combine na masomo karibu yote ya arts kwa hivi hata mwalimu wa English, Geography, kiswahili, economics na hata French ujue pia alisoma History 'A' level na huenda pia katika diploma alichanganya na history na kuwa na teaching subjects 2. kwa upande wa kiswahili ni kuwa "O" level ni somo linaloongoza kwa ufaulu kama sijakosea sana hi ni rahisi pia kuja kulisoma kama teaching suject wakati wa kuchukua diploma au degree. Tatizo ni walimu wa Sayansi na hili linaeleweka sasa notion isiwe hata yale masomo ya arts tunayagrade. hii inaweza kuwa dhambi ya ubaguzi
 
sasa kinakushangaza kitu gani kama ni robo tu

which means robo nyingine kiingereza na geo

robo nyingine physics na hesabu

robo nyingine chemistry na bios
AMBAPO UNAKAMILISHA NZIMA YAANI 4
SASA AJABU LIKO WAPI?????
 
Sio robo ni nusu ya Walimu wote wanafundisha kiswahili na History uhaba ni walimu wa kingereza na science.

ooh kumbe ndo mana darasa la kisw walikuwa wanajaa hadi wanasimama nje!! Bora hata nilipata f loh kisw kigumu jamani!
 
mwalimu wa sayansi shule za kata vipindi 34 na kuendelea ila mwalimu aliyesoma hiyo kiswahili na history vipindi 6 mpaka 10 kwa wiki mwisho wa mwezi mshahara sawa dah kwel haki ni kwa mungu c duniani
 
mwalimu wa sayansi shule za kata vipindi 34 na kuendelea ila mwalimu aliyesoma hiyo kiswahili na history vipindi 6 mpaka 10 kwa wiki mwisho wa mwezi mshahara sawa dah kwel haki ni kwa mungu c duniani

Nenda kaseme sasa!
 
sasa kinakushangaza kitu gani kama ni robo tu

which means robo nyingine kiingereza na geo

robo nyingine physics na hesabu

robo nyingine chemistry na bios
AMBAPO UNAKAMILISHA NZIMA YAANI 4
SASA AJABU LIKO WAPI?????

Nimebaki tu nashangaa, eti huyu nae kakaa kwenye kiti umfundishe aelewe
eeeh mungu tujalie walimu nguvu za ziada
 
siku si nyingi sana lazima mabadiliko yatokee ktk Elimu..kwanza ni 3/4 ni walimu wadizaini hiyo na Sayansi ata 1/4 hawafiki na mbaya zaidi walimu wa sayansi wanatoil ile mbaya kwa vipindi vya kufa mtu zaidi ya 30 kwa wiki uku arts vipindi mpaka vi 4 kwa wiki na mshahara eti uwe sawa ..LAZIMA SERIKALI IFUMBUKE OTHERWISE ATA HAO MADAKTARI NA ENJINIA TUTAWAKOSA kwani hakuna mwl wa sayansi atakae mudu funisha km MACHINE kwa malipo KIBABA
 
Back
Top Bottom