President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Anakuja kwa kasi majuma machache tu baada ya kujiunga na chama 'dume' la demokrasia.
Anakuja kwa kasi majuma machache tu baada ya kujiunga na chama 'dume' la demokrasia.
Yaani nilimpenda bure, wale ndo watu tunaowahitaji CHADEMA, ktkharakati za kutafuta ukombozi wa nchii kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi CCM.Esther Wassira alinivutia sana jana
atamridhi wapi me cjakuelew mkuu. ila kiukweli yuko vizuri
Kwan cecilia pareso mb vit maalum ameenda wap mpaka esther wasira amrith regia mtema?
Naombeni namba ya Esther Wassira tafadhali, alinivutia sana jana
Naombeni namba ya Esther Wassira tafadhali, alinivutia sana jana
kumrithi kuna maana pana si ktk jimbo la kilombero bt marehem regia alikuwa mwakilishi wetu kama vijana,mwenzetu,dada yetu na she was open sana,pengo lake ni zito mno,itakuwa vema kama esther akiplay part ya regia chamani yaani kwa namna alivyokuwa kimatendo na kiuongozi.popote alipokuwa marehem alishare nasi jukwaani,ofcourse she did all good for us.so we need somebody to remove us frm this deep solitary.esther may be the one!
Hivi huyu dada ndio yule muimbaji?