GE2025 Esther Matiko atinga mbele za wajumbe kuwashawishi wampitishe kuwa mgombea wa ubunge Tarime mjini

GE2025 Esther Matiko atinga mbele za wajumbe kuwashawishi wampitishe kuwa mgombea wa ubunge Tarime mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mtiania wa ubunge wa Tarime Mjini, Mkoa wa Mara, Esther Matiko akijitambulisha kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) jana Ijumaa, Agosti 1, 2025 kabla ya kura za maoni.

Matiko amewahi kuwa mbunge wa Viti Maalumu na mbunge wa Tarime Mjini kupitia Chadema. Kwa sasa anawania breathe hiyo mdani ya CCM.

Kura za maoni kwa watiania ubunge zitafanyika Fridayatu ya Agosti 4, 2025 nchi nzima.


 
Mtiania wa ubunge wa Tarime Mjini, Mkoa wa Mara, Esther Matiko akijitambulisha kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) jana Ijumaa, Agosti 1, 2025 kabla ya kura za maoni.

Matiko amewahi kuwa mbunge wa Viti Maalumu na mbunge wa Tarime Mjini kupitia Chadema. Kwa sasa anawania breathe hiyo mdani ya CCM.

Kura za maoni kwa watiania ubunge zitafanyika Fridayatu ya Agosti 4, 2025 nchi nzima.


View attachment 3428123
niwe mkweli namuombea "kifo" cha mapema kwenye upuuzi anaoutafuta. A traitor is always a traitor. Lakini kwa vile so-called wajumbe ni Lumpen proletariat, hayajielewi, yanaweza yakampa kura
 
Mtiania wa ubunge wa Tarime Mjini, Mkoa wa Mara, Esther Matiko akijitambulisha kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) jana Ijumaa, Agosti 1, 2025 kabla ya kura za maoni.

Matiko amewahi kuwa mbunge wa Viti Maalumu na mbunge wa Tarime Mjini kupitia Chadema. Kwa sasa anawania breathe hiyo mdani ya CCM.

Kura za maoni kwa watiania ubunge zitafanyika Fridayatu ya Agosti 4, 2025 nchi nzima.


View attachment 3428123
Kumbe wakati ule wanaonekana kupigania Chadema walikuwa undercover ? Hivi wanawaangaliaje watu walioumia kwa ajili yao?

Amandla...
 
Mtiania wa ubunge wa Tarime Mjini, Mkoa wa Mara, Esther Matiko akijitambulisha kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) jana Ijumaa, Agosti 1, 2025 kabla ya kura za maoni.

Matiko amewahi kuwa mbunge wa Viti Maalumu na mbunge wa Tarime Mjini kupitia Chadema. Kwa sasa anawania breathe hiyo mdani ya CCM.

Kura za maoni kwa watiania ubunge zitafanyika Fridayatu ya Agosti 4, 2025 nchi nzima.


View attachment 3428123
Hana maana yoyote huyu. Kilaza na msaliti mkubwa.
 
Zile 400m/- alizopata anaweza kuzitumia akatoboa!
 
Mtiania wa ubunge wa Tarime Mjini, Mkoa wa Mara, Esther Matiko akijitambulisha kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) jana Ijumaa, Agosti 1, 2025 kabla ya kura za maoni.

Matiko amewahi kuwa mbunge wa Viti Maalumu na mbunge wa Tarime Mjini kupitia Chadema. Kwa sasa anawania breathe hiyo mdani ya CCM.

Kura za maoni kwa watiania ubunge zitafanyika Fridayatu ya Agosti 4, 2025 nchi nzima.


View attachment 3428123
Keshapita huyo kha ona yuko na king's maker hapa

1754142204685.png
 
Acha tu aisee
Mimi binafsi niliwaamini sana hawa Esther wawili. Niliamini kabisa kuwa wanaumizwa na hali iliyopo na walitaka mabadiliko. Esther Bulaya alifikia hata kujiapiza kuwa hawezi kurudi CCM kamwe. Kumbe, kwa maneno yake mwenyewe, alikuwa likizo! Kwa kweli inasikitisha sana. Labda kama huko nako wameenda kama double agents.

Amandla...
 
Mimi binafsi niliwaamini sana hawa Esther wawili. Niliamini kabisa kuwa wanaumizwa na hali iliyopo na walitaka mabadiliko. Esther Bulaya alifikia hata kujiapiza kuwa hawezi kurudi CCM kamwe. Kumbe, kwa maneno yake mwenyewe, alikuwa likizo! Kwa kweli inasikitisha sana. Labda kama huko nako wameenda kama double agents.

Amandla...
Usimuwekee mwanasiasa mdhamana 😄

Ova
 
Back
Top Bottom