1. Kwani mbunge wa sasa wa Tarime Mjini ni nani na je hagombei tena?
2. Vipi wale makada kindaki kindaki wa CCM wafia chama waliokuwa wanapambana na upinzani mchana na usiku hakuna hata mmoja anayegombea iwapo mbunge anayemaliza muda wake hagombei?
3. Je CCM ina utaratibu gani kwa makada wapya wanaotoka kwenye vyama vingine kuhusu kugombea nafasi mbali mbali kama uraisi, ubunge na udiwani? Je kuna muda maalum wa kuwa chini ya uangalizi kabla ya kupewa nafasi ya uongozi na kama upo ni muda gani?
Ni mtizamo tu.
2. Vipi wale makada kindaki kindaki wa CCM wafia chama waliokuwa wanapambana na upinzani mchana na usiku hakuna hata mmoja anayegombea iwapo mbunge anayemaliza muda wake hagombei?
3. Je CCM ina utaratibu gani kwa makada wapya wanaotoka kwenye vyama vingine kuhusu kugombea nafasi mbali mbali kama uraisi, ubunge na udiwani? Je kuna muda maalum wa kuwa chini ya uangalizi kabla ya kupewa nafasi ya uongozi na kama upo ni muda gani?
Ni mtizamo tu.