Esther Bulaya ajutia maamuzi yake

Esther Bulaya ajutia maamuzi yake

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Bunda mjini kupitia CHADEMA, Esther ameonyesha kukata tamaa kutokana na kutoungwa mkono na wafuasi wa CHADEMA ambao pia wamekuwa wakimzomea kila anapopita.

Hali inaweza kupelekea Steven Wasira kushinda kirahisi katika jimbo hilo.
 
Asikate tamaaa,apambane tu, Wassira kwa pale ushindi mweupe
 
Mgombea wa ubunge jimbo la Bunda mjini kupitia chadem,Esther ameonyesha kukata tamaa kutokana na kutoungwa mkono na wafuasi wa chadema ambao pia wamekuwa wakimzomea kila anapopita.Hali inapelekea Steven Wasira kushinda kirahisi katika jimbo hilo.

Chadema mnamsaliti mgombea wenu
 
Mgombea wa ubunge jimbo la Bunda mjini kupitia chadem,Esther ameonyesha kukata tamaa kutokana na kutoungwa mkono na wafuasi wa chadema ambao pia wamekuwa wakimzomea kila anapopita.Hali inapelekea Steven Wasira kushinda kirahisi katika jimbo hilo.

Ukiwa chali
 
Bunda wapo sawa wasichague mtu aliye saliti chama chake kilichomlea
 
mkuu kama hujashtukia hii ni kwamba mtoa mada na waliocomment chini ni mtu mmoja, we jaribu kufuatilia post zingine alafu utaniambia
VIVA UKAWA!!!

Ndivyo walivyo
ImageUploadedByJamiiForums1444283096.208524.jpg
 
Bado ukawa ni tishio...

Japo bulaya hakujiandaa mapema kugombea jimbo la wasira.

Bulaya angejiandaa ndo angepotea kabisa, yaani stali aliyoingia nayo ni nzuri. Mimi niko bunda tena pembeni kabisa ya mji hapa ukizungumza na watu 10 kati yao 6 -7 wako kwa bulaya na 3 - wako kwa wasira. Kazi kubwa kwa bulaya ktk dkk hizi za mwisho awatumie vijana wake kuzuia mianya ya rushwa.

BULAYA ana nafasi ya kushinda!
 
VIVA Esther Bulaya! VIVA UKAWA. Kaza mwendo safari ya mafanikio in milima na mabonde. Na hasa ukizitia unakwenda kuuangusha mbuyu iliokaa miaka 50+.
 
Back
Top Bottom