Mgombea wa Ubunge Jimbo la Bunda mjini kupitia CHADEMA, Esther ameonyesha kukata tamaa kutokana na kutoungwa mkono na wafuasi wa CHADEMA ambao pia wamekuwa wakimzomea kila anapopita.
Hali inaweza kupelekea Steven Wasira kushinda kirahisi katika jimbo hilo.
Hali inaweza kupelekea Steven Wasira kushinda kirahisi katika jimbo hilo.