Kweri umesema mabyara. Yaani haka kasimbe kyetu kyina ngufu sana. Si unaona anafyo mnyanyasa yule mghaka. Jitu la misituni likachachafiwa na kasimbe hadi limejificha nyuma ya watu. Namupa ongera sake huyu musichana kweri. Munyika, rete ching'ombe nikupe huyu naye uongesee. Rete ching'ombe 26 na milioni 5 tu unamchukua reo reo.
dah hata mimi pia ukipewa namba naomba unipe na mimi nijaribu bahati yanguNimejikuta namhusudu sana Bulaya.Mwenye namba zake anitupie nijaribu bahati yangu
hahahahaha afanye mazoezi mwambie lakini ajiandae kuharisha akileta chokochokoYaani hii video imenipa hasira sana,,hivi kwa nini lakini akina Mnyika hawafanyi mazoezi ya viungo?unawazingua tu hao askari kudaadeki..spika anaendesha bunge kimabavu namna hiyo? Ila haya ni maisha tu tunapita
Wote walewale tu..... kiise na kitotomya.....Kuna kipindi watu walimsifu sana Ndugai na kudai wamemmis alipokuwa anaumwa wakati huo tuliaminishwa kuwa naibu spika ni shetani.
Huna tv au?. Kama unayo angalia itv saa 5 usiku huu.Umeona au umeambiwa??? mbona hakuna kitu kama hicho!!
Acha kujitoa ufaham, saa zingine uwe unaacha kutumia makalio wakat unaandika post humuKweri umesema mabyara. Yaani haka kasimbe kyetu kyina ngufu sana. Si unaona anafyo mnyanyasa yule mghaka. Jitu la misituni likachachafiwa na kasimbe hadi limejificha nyuma ya watu. Namupa ongera sake huyu musichana kweri. Munyika, rete ching'ombe nikupe huyu naye uongesee. Rete ching'ombe 26 na milioni 5 tu unamchukua reo reo.
huwaga nawaambia hakuna mtu aliye ccm umwamini,kuna siku bashe watakuja kumkataa humu,wale wa njano na kijani akili yao sometimes inaingiwa maruhaniKuna kipindi watu walimsifu sana Ndugai na kudai wamemmis alipokuwa anaumwa wakati huo tuliaminishwa kuwa naibu spika ni shetani.