Ester Bulaya kupambana na polisi kumsaidia Mnyika

tusionacho

JF-Expert Member
Nov 23, 2016
274
514
Ester Bulaya ni mpambanaji kuliko wapinzani wote kavutana na polisi mpaka nje wakati wabunge wote wa upinzani wakiwa wamezubaa uonezi huu wa spika kwa wapinzani haukubaliki na Bulaya kaonyesha kwa vitendo kama mama Tanzania mzalendo na aliyepinga ukandamizwaji wa wazi wazi wapinzani leo umoja hamkuonyesha pindi Mnyika akidhalilishwa na polisi bungeni ndani
 
Ester Bulaya ni mpambanaji kuliko wapinzani wote kavutana na polisi mpaka nje wakati wabunge wote wa upinzani wakiwa wamezubaa uonezi huu wa spika kwa wapinzani haukubaliki na Bulaya kaonyesha kwa vitendo kama mama Tanzania mzalendo na aliyepinga ukandamizwaji wa wazi wazi wapinzani leo umoja hamkuonyesha pindi Mnyika akidhalilishwa na polisi bungeni ndani
Umeona au umeambiwa??? mbona hakuna kitu kama hicho!!
 
Sisi wanawake wa kanda maalumu, kule Mara hatuna kuremba. Tunaghecha tu, ule ni uonevu kwa Mnyika, hata mimi ningekuwepo ningemsaidia.

Kweri umesema mabyara. Yaani haka kasimbe kyetu kyina ngufu sana. Si unaona anafyo mnyanyasa yule mghaka. Jitu la misituni likachachafiwa na kasimbe hadi limejificha nyuma ya watu. Namupa ongera sake huyu musichana kweri. Munyika, rete ching'ombe nikupe huyu naye uongesee. Rete ching'ombe 26 na milioni 5 tu unamchukua reo reo.
 
Ester Bulaya ni mpambanaji kuliko wapinzani wote kavutana na polisi mpaka nje wakati wabunge wote wa upinzani wakiwa wamezubaa uonezi huu wa spika kwa wapinzani haukubaliki na Bulaya kaonyesha kwa vitendo kama mama Tanzania mzalendo na aliyepinga ukandamizwaji wa wazi wazi wapinzani leo umoja hamkuonyesha pindi Mnyika akidhalilishwa na polisi bungeni ndani
Unasifia ujinga.
Bulaya ashitakiwe kwa obstruction of justice kama ni kweli alipambana na polisi nje ya bunge
 
Ester Bulaya ni mpambanaji kuliko wapinzani wote kavutana na polisi mpaka nje wakati wabunge wote wa upinzani wakiwa wamezubaa uonezi huu wa spika kwa wapinzani haukubaliki na Bulaya kaonyesha kwa vitendo kama mama Tanzania mzalendo na aliyepinga ukandamizwaji wa wazi wazi wapinzani leo umoja hamkuonyesha pindi Mnyika akidhalilishwa na polisi bungeni ndani
Flww kwani spika kaonea MTU?
 
Back
Top Bottom