Ester Bulaya alivyovunja mwiko Bunda

Ester Bulaya alivyovunja mwiko Bunda

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,268
Kama kuna jambo linalo muuma na kumkera mzee Wasira mbunge wa zamani wa Bunda basi ni kitendo cha kunyang'anywa kitumbua chake mdomoni.

Aliye amua kumtesa mzee wetu Wasira siyo mwingine bali ni binti wa Bulaya na akawa kavunja mwiko pale mkoani kwetu Mara kwa kumshinda gwiji wa siasa mzee Wasira.

Hakika huyu binti ni mpambanaji wa kweli wa mambo ya siasa na kimaendeleo.
20190915_120759.jpeg
 
Kama kuna jambo linalo muuma na kumkera mzee Wasira mbunge wa zamani wa Bunda basi ni kitendo cha kunyang'anywa kitumbua chake mdomoni.

Aliye amua kumtesa mzee wetu Wasira siyo mwingine bali ni binti wa Bulaya na akawa kavunja mwiko pale mkoani kwetu Mara kwa kumshinda gwiji wa siasa mzee Wasira.

Hakika huyu binti ni mpambanaji wa kweli wa mambo ya siasa na kimaendeleo.View attachment 1208108
Mbona anafanana na Daz Baba ni ndugu yake ?
 
Mwakani Wasira anapita bila kupingwa, yeye asubiri tu uchaguzi ndio atashangaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom